Bwana Lucas Mwashambwa akiongoza maandamano ya kububujikwa na machozi

Acehood

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,653
Reaction score
2,792
Baada ya uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumalizika na ndugu TAL kuibuka na ushindi dhidi ya bilionea FAM, makada mbalimbali wa Chama cha mapinduzi walionyesha kutokuridhishwa na matokeo hayo.

Kada Mojawapo akiwa ni Lucas Mwashambwa alionekana mitaa ya mlowo Mbozi akiongoza maandamano maarufu kwa jina la "NIMEBUBUJIKWA NA MACHOZI" akiitaka mamlaka kuingilia kati maamuzi ya uchaguzi huo.


Habari hizi zimeendelea kusambaa na kupelekea ongezeko kubwa la wadau wa hashtag ya #NIMEBUBUJIKWANAMACHOZI ambazo wamekuwa wakifuatilia mbinu za kuwa CHAWA kama kiongozi wao Lucas Mwashambwa.



Your JF reporter kutoka kwa ground.
 
Kwamba hao kwenye picha wote ni wakina Lucas?. Halafu machozi yenyewe mbona siyaoni? au yameshakauka?🀣🀣🀣🀣
 
Kwamba hao kwenye picha wote ni wakina Lucas?. Halafu machozi yenyewe mbona siyaoni? au yameshakauka?🀣🀣🀣🀣
Wanalia kiume mkuu. Ni muanzilishi na wafuasi wake
 
🀣🀣🀣🀣. Kwamba kulia kiume ni kulia ndani ndani then jicho linakuwa jekundu kuashiria internal mbubujiko?
πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapo umeiweka kitaalamu mkuu. Internal mbubujiko
 
huyo pichani ndo Lucas Mwashambwa wakule kwakina "Mwakataa"?
 
Kwamba hao kwenye picha wote ni wakina Lucas?. Halafu machozi yenyewe mbona siyaoni? au yameshakauka?🀣🀣🀣🀣
🀣🀣

Mkuu, alibubujikwa machozi kabla ya kufikia hatua hiyo aliyopo na hilo picha la maandishi yake 🀣🀣
 
Zezeta la kububujikwa machozi. Idiot kabisa CHAWA
 
🀣🀣

Mkuu, alibubujikwa machozi kabla ya kufikia hatua hiyo aliyopo na hilo picha la maandishi yake 🀣🀣
Haka kakipindi kuna watu wanafurahi kwa kupata TUMAINI na kuna watu wakifikiria yajayo wanaona Giza Tu. Tuombe uzima kwa mwenye uzima wake🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…