Elections 2010 Bwana mapesa John Cheyo vipi Bariadi?

popiexo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
742
Reaction score
183
Matokeo ya Bariadi jamani mwenye Kujua kinachoendelea huko amwage data
 
Bukombe na Kahama mwenye data atupe jamani!!
 
Naskia Chenge amepotezwa ila kuna dalili ya fitna kwani matokeo yanacheleweshwa bila sababu ya msingi.

kipindi kilichopita nasikia alimwibia yule wa UDP Manjoba. Na wasipoangalia CHADEMA mwaka huu atafanya hivyo tena
 
habari nilizopata toka bariadi sasa hivi bwana mapesa anaongoza bado kata chache wanamalizia kuhesabu nitawapa matokeo muda si mrefu.pia bariadi mashariki hali si shwari kwa ccm.:israel:
 
habari nilizopata toka bariadi sasa hivi bwana mapesa anaongoza bado kata chache wanamalizia kuhesabu nitawapa matokeo muda si mrefu.pia bariadi mashariki hali si shwari kwa ccm.:israel:

Thanks for info and welcome to JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…