Bwana na Bibi ni mtu na Dada yake....

How are we gonna prove if your case story is true or fabricated? Something more of evidence to convince us, may be?
 

True hii ishu haitaji sredi maana iko wazi kuwa haikubaliki hata kidogo.
Kwa nini isihitaji sredi? Haya mambo yanawekwa wazi ili watu wengine wajifunze kutokana na makosa ya watu wengine na vilevile tujue nini kinaendelea duniani.
 
Tunashangaa nini kwani watu wa jinsia moja kumegana si ndio ajabu zaidi? na hawaishii hapo tu wanafunga na ndoa kudhibitisha kuwa wanapendana.Siwezi nikakubaliana na walio wengi, kuwa wanafanya hivyo ili biashara yao iende la hasha ,hako ni kajitabia ambako kanaweza kakajitokeza kwa watu ambao wanashindwa kuyaongoza mawazo yao kwenye mstari ulio onyooka.Inatokea siku bahati mbaya unatoka zako huko unakuta dada yako haja jisitiri sehemu nyeti basi kile kitu ukakiweka kichwani.Baadaye ukilala nijuavyo mimi ni kwamba kamla mtu hajapata usingiza baada ya kulala hujaribu kupitia mambo muhimu ya siku nzima kwa siku husika na hapo ndio tatizo la weza kuja kama tu usipo weza kupuuzia.Tatizo zaidi endapo itatokea mara nyingi zaidi kwani kitakuwa ni kitu cha kawaida.Ndipo hapo mtu anaanza kuharalisha kwani haiwezi kuingia,kwani hakuna mtu atakayejua kwani kijana wa kiume atafikiri pengine dada yake naye anapenda.
Vile vile kuna baadhi ya koo wana laana kama sio kuwa na hisia zilizo pitiliza,kwani hupenda vidudu vyao viwe vina chezeana kila sekunde sasa kila siku kuondoka kwenda kutafuta inakuwa sio bora apate mzigo wa fimilia yake,pengine huyo mama alikimbia muziki wa jamaa kwani ni maisha bila nguo za ndani kikisimama tu kinaingizwa haijalishi ofisini, nyumbani au kwenye gari.
 
Kwa nini isihitaji sredi? Haya mambo yanawekwa wazi ili watu wengine wajifunze kutokana na makosa ya watu wengine na vilevile tujue nini kinaendelea duniani.

Kuna nini cha kujifunza. Hili jambo halikubaliki period.
 
FL1.. Ni balaa.. Mwanzoni tulifikiri ni uongo.. Lkn kila siku zinavyokwenda, mengi yanaonekana na kudhihirisha! Wana gari ambayo hakuna anaepanda zaidi yao.. Hupewi mtu lift hata iweje.
Dreamliner is this for real? REAL?
I am speechless , shocked!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…