x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Habari ndugu wana jamvi,
Nina jambo hapa ambalo nataka tupeane uzoefu kidogo.Nashindwa kuelewa utaalamu ambao mtu kaupata kwa gharama na muda mwingi aumnufaishi ipasavyo. Pamoja kwamba bwana au bibi kilimo na ufugaji anajua vizuri kilimo na namna ya kupata mazao mengi na bora lakini chakustajaabisha wanao pata mafanikio katika sekta hiyo na kuwa mfano wa kuigwa ni wale ambao hawana utalaamu huo wa kusomea pengine hata form iv awaijui.
Mwisho wa siku wao wanakuwa ndio maboss wa hao wataalam wa Kilimo, tatizo nini hasa, nilitegemea wao ndio wawe mfano wa kuigwa lakini inakuwa ndivyo sivyo. Sijafanya utafiti rasmi lakini ndivyo inavyoonekana katika jamii yetu wataalam wa klimo/mifugo walio wengi wanamaisha ya kawaida wakati kuna watu ni mamilionea katika fani hiyo ijapokuwa awajaisomea.
Nina jambo hapa ambalo nataka tupeane uzoefu kidogo.Nashindwa kuelewa utaalamu ambao mtu kaupata kwa gharama na muda mwingi aumnufaishi ipasavyo. Pamoja kwamba bwana au bibi kilimo na ufugaji anajua vizuri kilimo na namna ya kupata mazao mengi na bora lakini chakustajaabisha wanao pata mafanikio katika sekta hiyo na kuwa mfano wa kuigwa ni wale ambao hawana utalaamu huo wa kusomea pengine hata form iv awaijui.
Mwisho wa siku wao wanakuwa ndio maboss wa hao wataalam wa Kilimo, tatizo nini hasa, nilitegemea wao ndio wawe mfano wa kuigwa lakini inakuwa ndivyo sivyo. Sijafanya utafiti rasmi lakini ndivyo inavyoonekana katika jamii yetu wataalam wa klimo/mifugo walio wengi wanamaisha ya kawaida wakati kuna watu ni mamilionea katika fani hiyo ijapokuwa awajaisomea.