Bwana Shamba Wilaya ya KIBITI

Keyala

Member
Joined
Sep 11, 2014
Posts
64
Reaction score
29
Wakuu nataka kujiingiza kwenye kilimo maeneo ya Kibiti. Kuna mwenye mawasiliano ya bwana shamba wilaya ya KIBITI ili niweze kupata ushauri kwake juu ya mazao ya kulima, aina za mbegu na muda wa kufanya maandalizi?
 
Ngumu sana kutoa mawasiliano ya mtu mzee... hasa kwa mtu ambaye umfahamu... ila kama upo dar... una weza funga safari ya masaa 2 hadi ma 3... kufika ofisi zilipo... stand ya mabasi na ofisi za wilaya ni kama mita mia... na usafiri ni wa kutosha mpaka saa kumi na mbili jioni... nauli nazani ni buku 4 au tano... kutoka mbagala rangi 3 to kibiti
 
Kama unahitaji "online Bwana" shamba nipo hapa naweza kukusaidia A, B, C wapi uanzie just ni PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…