Bwana Yakub Bashir, mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu uliishia wapi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Tulikupongeza sana kwa move ya kutetea watu wasiibiwe na mitandao ya simu maana ni wezi wakubwa kupitiliza. Ukasema una maongezi nao. Ukaleta mrejesho wa kwanza kuwa wamekuita mnaongea lkn bado kesi inaendelea kufunguliwa. Kama watakubaliana na maombi yako, ni kiasi cha kufuta kesi.
Sasa umekuwa kimya! AU UMESHAVUTA "ZAKO", UMELAMBISHWA ASALI!
TUNAOMBA MREJESHO!
 
Mchakato upo FCC now unaendelea nadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…