Tougher
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 245
- 65
Poleni kwa kazi wanajamvi,
Nataka kuingia katika ufugaji wa samaki, nipo katika hatua ya kutengeneza business plan. Moja kati ya vitu ninavyohitaji kuvifahamu ni gharama ya vitu vifuatavyo;
1. Gharama ya ujenzi wa bwawa katika ukanda huu wa pwani hususani mkuranga (including uchimbaji). Ukubwa wa bwawa 30 X 20 meters i.e. 600 square meters
2. Gharama ya vifaranga vya samaki (Sato)
3. Gharama za uchimbaji wa Kisima cha mita 100
Tafadhali kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hayo matatu tafadhali naomba anijuze
Wenu katika Maendeleo
Tougher
Nataka kuingia katika ufugaji wa samaki, nipo katika hatua ya kutengeneza business plan. Moja kati ya vitu ninavyohitaji kuvifahamu ni gharama ya vitu vifuatavyo;
1. Gharama ya ujenzi wa bwawa katika ukanda huu wa pwani hususani mkuranga (including uchimbaji). Ukubwa wa bwawa 30 X 20 meters i.e. 600 square meters
2. Gharama ya vifaranga vya samaki (Sato)
3. Gharama za uchimbaji wa Kisima cha mita 100
Tafadhali kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hayo matatu tafadhali naomba anijuze
Wenu katika Maendeleo
Tougher