20 December 2024
View: https://m.youtube.com/watch?v=uurfxrQkAi8
Vinu namba 9, 8, 7, 6 na 5 sasa vimekamilika hadi leo 18 December 2024 na huku vinu namba 4, 3, 2 na 1 kazi ya usimikaji inaendelea.
Kazi zote za usimikaji wa vinu vyote 9 na miundombinu ya usambazaji kuingia katika gridi ya taifa jumla ya megawatts 2,115 zitaingizwa katika gridi ya taifa .
Historia :
Mwaka 2021:
Dr. Medard Kalemani waziri wa Nishati : Ujenzi wa mradi huo JNHPP Stiegler's Gorge Rufiji umepangwa kukamilika Juni 14, 2022.
Mwaka 2022
January Makamba waziri wa NISHATI: Sisi tumeamua kusema ukweli bwawa la JNHPP litakamilika 2024
Mwaka 2024:
Dr. Doto Biteko waziri wa Nishati mwezi February 2024 amesema “Matarajio ni mradi huu kukamilika Desemba 2024 kwa mitambo yote tisa yenye uwezo wa kuzalisha Megawati 235 kila moja kuwa.
Hayo yamesema na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Bungeni jijini Dodoma wakati akisoma hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
“Matarajio ni mradi huu kukamilika Desemba 2024 kwa mitambo yote nane yenye uwezo wa kuzalisha Megawati 235 kila moja kuwa inazalisha umeme”. amesema Dkt.Biteko
BWAWA LA UMEME JNHPP Sasa linazalisha Megawatts 1,075 kati ya Megawatts 2115
View: https://m.youtube.com/watch?v=uurfxrQkAi8
Vinu namba 9, 8, 7, 6 na 5 sasa vimekamilika hadi leo 18 December 2024 na huku vinu namba 4, 3, 2 na 1 kazi ya usimikaji inaendelea.
Kazi zote za usimikaji wa vinu vyote 9 na miundombinu ya usambazaji kuingia katika gridi ya taifa jumla ya megawatts 2,115 zitaingizwa katika gridi ya taifa .
Historia :
Mwaka 2021:
Dr. Medard Kalemani waziri wa Nishati : Ujenzi wa mradi huo JNHPP Stiegler's Gorge Rufiji umepangwa kukamilika Juni 14, 2022.
Mwaka 2022
January Makamba waziri wa NISHATI: Sisi tumeamua kusema ukweli bwawa la JNHPP litakamilika 2024
Mwaka 2024:
Dr. Doto Biteko waziri wa Nishati mwezi February 2024 amesema “Matarajio ni mradi huu kukamilika Desemba 2024 kwa mitambo yote tisa yenye uwezo wa kuzalisha Megawati 235 kila moja kuwa.
MRADI WA JNHPP UTAKAMILIKA MWEZI DISEMBA 2024 -NAIBU WAZIRI MKUU DKT.BITEKO
Serikali imesema imeanza uzalishaji wa umeme kupitia mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa Julius Nyerere (JNHPP) wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115, ambapo uzalishaji huo umeanza kwa Megawati 235 kupitia mtambo namba tisa.Hayo yamesema na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Bungeni jijini Dodoma wakati akisoma hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
“Matarajio ni mradi huu kukamilika Desemba 2024 kwa mitambo yote nane yenye uwezo wa kuzalisha Megawati 235 kila moja kuwa inazalisha umeme”. amesema Dkt.Biteko