Bweni la shule ya wavulana ya Migori lateketea

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Bweni la shule ya upili ya wavulana ya Migori lilishika moto jana usiku ambapo bidhaa za wanafunzi zilichomeka. Moto huo ulizuka wakati wanafunzi walikuwa kwenye masomo ya jioni. Ilichukua muda wa saa moja kuzima moto huo. Hakuna aliyejeruhiwa kwenye kisa hicho. Chanzo cha moto huo hakijabainika huku naibu mwalimu mkuu wa shule hiyo, Philip Rabongo akiwahimiza wazazi wawe watulivu kwani wanafunzi wote wako salama.
 
Tujuze migori ya mkoa na nchi gani. Maana Tanzania kuna Migori iliyopo mkoa wa Dodoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…