Bweni la Shule ya Wazo Hill Secondary lawaka Moto.

Bweni la Shule ya Wazo Hill Secondary lawaka Moto.

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,991
Reaction score
24,211
Bweni watoto wa kiume, kidato cha kwanza katika shule ya Wazo Hill secondary limewaka moto.

Hadi naingia jf, hakuna taarifa za majeruhi wala kifo, watoto wote wako salama. Kikubwa wamepoteza vitu vyao vyote.

Sababu za moto huo nii hitilafu ya umeme.

Kwa wazazi ama ndugu wenye watoto hapo no vizuri kucheki nao kama wanahitaji msaada.
 
Dah. Sasa headmistress tutafanyaje kuepuka haya matukio? Nimekumbuka ghafla tukio la shauritanga. Na tanesco walishatoa disclaimer kuwa hawahusiki.
 
Ahsante kwa taarifa..Poleni vijana kwa kuunguliwa na bweni na mali zenu..
 
Acha tu academic master
Watoto wwamepaanick kweli, inabidi kuwe na huduma za kushauri kupunguza trauma. Kuna watoto delicate sana kihisia siku hizi.

Dah. Sasa headmistress tutafanyaje kuepuka haya matukio? Nimekumbuka ghafla tukio la shauritanga. Na tanesco walishatoa disclaimer kuwa hawahusiki.
 
pole zao sana hapo kwa wasiopenda shule kila siku akiulizwa notes au kazi utasikia madaftari yameungua na moto..

poleni sana wanafunzi wa wazo hill
 
Asante kwa taarifa, watoto waliopanic wanatakiwa kupewa uangalizi maalum, kwani binadamu tumeumbwa na mioyo tofauti katika stahimili shock mbalimbali.
 
Back
Top Bottom