By the time she accepted, I had lost interest

mtaka cha uvunguni sharti........subira huvuta.............
 
love is spontaneous, huyo hakua wako... alikuweka kwenye mizani mkuu

move on
 
Dah!
Jamani, hebu jaribu kukarudisha rudisha hako kainteresti.
Labda mwenzio alikuwa anakuchunguza.

Mkuu kainteresti kamehamia kwa mwingine. Sasa alivyo'na nimeanza kudate another lady ndio akaanza kuwa closer. Hata hivyo nimeona hanifai bcoz she is not business oriented (kuweza kumiliki shuguli zangu) but the new face to replace her seems to be. ila baado ni probability.
 

dah! Kumbe ushaopoa kipya. Basi mpotezee.
Halafu haya mapozi smtym yanatucost. Lol!
 
Hukumpenda for real. Just ulimtamani, true love last longer. Ila tunashukuru hujampotezea muda wake, umewahi kumlate her go, good, ataumia, maisha yataendelea.
 
binafsi naamini kuna umri ambao binti akiringa au akijifanya
haelewi maana anaweza samehewa na subira kwa upande wa mwanaume
ikawa ndefu. aidha upo umri ambao mwanadada hahitajiwi kuvuuuuta ringo lake.
umri huo mwanadada anategemewa kuamua kama anataka ama la. katika umri
huu si vyema mwanadada kumchomesha mahindi mwanaume kwa muda mrefu
kwani atakuta "mwana si wake"lol
 
Kuringa muhimu na wewe bana unabembeleza kidogo unaloose interest?? Haya kazi kwako na yeye kabreak malove.

Hakuna cha what to do hapo ni life goes on tu

Dena ilikuwa zamani, sio siku hizi. Ni yes or no. Hakuna tena sibiri nitakuambia nikirudi kuchota maji
 
Nimejaribu kutafuta comment ya chimala humu lakini siioni zaidi ya yeye kutoa thanks kibao na likes,...inakuaje ujombaa?
<br />
<br />
Chimala story yake ya kutunga so haifanani na huyu
 
Dena ilikuwa zamani, sio siku hizi. Ni yes or no. Hakuna tena sibiri nitakuambia nikirudi kuchota maji

Mmmmmhh EMT wewe mie mbona bado naringa au ni tofauti kwasababu naringa kwa wakwangu??
 
ha ha mkuu story yako imenigusa kweli nimeshika pembe mpaka nimechoka na kuamua kuachia ngazi, eti ndio anasema i love uu, gad em.

Mi hii ilinipata live nikiwa chuo. Nilimzimikia dem flani alikuwa anapiga buku la pharmacy pale MUHAS. Yani tangu day one tumeripoti na wenyewe wameripoti kwao huwezi amini mtu mzima nilikuwa natinga maeneo ya MUHAS kumpiga ofa kwa vijisenti vyangu uchwala vya kabla ya boom. Kila ijumaa nilikuwa jioni lazima niwasili MUHAS kumcheki, lakini duh alikuwa na zile za kujaza company room kwake, tukitoka anajadili masomo tuuuu, nikileta ishu zetu za maana anapotezea flani, lakini ofa analamba kama kawa, yani msela nilikuwa naambulia tabasamu tuuuu! Nimesonga nae kama miezi 6 hivi, washkaji zangu wa mlimani wanaamini nina demu MUHAS kumbe hola! Nikaona huu sasa mchoreko, nikaamua siku moja diii hakuna kufatilia tena wala nini, sipigi simu wala situmi vocha, kama ishakula kwangu poa haikuwa riziki. Naye pia akakaushia vilevile, nikaona poa. Tumeingia 2nd yr nikapata demu wa ukweli, palepale campus. Na yule wa MUHAS akaanza mizuka yake, mara simu mara sms hadi night kali, wakati flani nikawaza sijui nitungue tu mara moja kulipizia alivyonidiss kipindi kile halafu nimpotezee, nikapimaa nikaona no, nitaharibu huku. Akaanza safari za kunifata campus, basi nikawa nampiga chenga namwambia unajua sisi 2nd yr huwa hatupati room so niko off campus na washkaji na tena tuko kibao. Akawa haridhiki, anataka kuja tu, nikaweka ngumu. Akachunguza hadi akamjua demu wangu, aliponiuliza nikamwambia ulitegemea nini? Hii kitu wanaita kisebusebu kumbe kweli.
 

Man nimeipenda sana. Hapo lazima alijilaumu sana. She was testing your persistence, ikala kwake!
 
Tel her to stay away from u coz.. She had a chance she blow it...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…