Bybit Kuzindua Islamic Account inayofuata Shariah

Bybit Kuzindua Islamic Account inayofuata Shariah

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
IMG_20241011_120857_633.jpg


Ni mwendelezo sasa mzuri sana Kwa CeX exchange au Centralized Exchange kama bybit kuwapa uhuru baadhi ya watumiaji wenye Imani zinazozingatia sharia fursa ya kuweza kutuma account zinazofuata misingi ya Imani zao.

Sharia ambayo huamini kwenda kinyume kabisa na riba (interest), Maysir (gambling) na gharar (uncertainty) pamoja na mambo mengine mengi yaliyokuwa prohibited kwenye Quran Tukufu na Sunnah

Bybit haijawahi jitangaza kama ni Islamic platform Wala kufanya kazi Kwa kuzingatia mienendo ya Kiislamu, lakini Kwa kutambua na kuheshimu Imani za watu mwezi huu wameamua kuleta fursa hii adimu hasa kwenye sarafu bandia na tukumbuke platforms nyingi sana ambazo zinatoa huduma mfanano hususani exchange na mabank yamewapa fursa watu wenye Imani ya sharia ikiwa ni pamoja na kuondoa kabisa riba (interest).

Bybit Kwa ushirikiano na CryptoHalal na ZICO Shariah Advisory Services Sdn. Bhd. (ZICO Shariah) ambao watahakikisha sharia inafuatwa ili kutovunja Imani ya mtumiaji wamechagua tokens ikiwemo, BTC, ETH, USDT, XRP, ADA, USDC, POL, AVAX, LINK, BNB, ATOM, LTC, UNI, XLM, ALGO, na nyingine nyingi kuwepo kwenye account maalumu Kwaajili ya muislamu.

Zaidi kuhusu Islamic and non Islamic account ,👉 Bybit World Centralized Exchange

Baadhi ya platform nyingine zinazotoa Islamic Account 👉 XM Islamic Account

Bybit Tanzania
 
View attachment 3121688

Ni mwendelezo sasa mzuri sana Kwa CeX exchange au Centralized Exchange kama bybit kuwapa uhuru baadhi ya watumiaji wenye Imani zinazozingatia sharia fursa ya kuweza kutuma account zinazofuata misingi ya Imani zao.

Sharia ambayo huamini kwenda kinyume kabisa na riba (interest), Maysir (gambling) na gharar (uncertainty) pamoja na mambo mengine mengi yaliyokuwa prohibited kwenye Quran Tukufu na Sunnah

Bybit haijawahi jitangaza kama ni Islamic platform Wala kufanya kazi Kwa kuzingatia mienendo ya Kiislamu, lakini Kwa kutambua na kuheshimu Imani za watu mwezi huu wameamua kuleta fursa hii adimu hasa kwenye sarafu bandia na tukumbuke platforms nyingi sana ambazo zinatoa huduma mfanano hususani exchange na mabank yamewapa fursa watu wenye Imani ya sharia ikiwa ni pamoja na kuondoa kabisa riba (interest).

Bybit Kwa ushirikiano na CryptoHalal na ZICO Shariah Advisory Services Sdn. Bhd. (ZICO Shariah) ambao watahakikisha sharia inafuatwa ili kutovunja Imani ya mtumiaji wamechagua tokens ikiwemo, BTC, ETH, USDT, XRP, ADA, USDC, POL, AVAX, LINK, BNB, ATOM, LTC, UNI, XLM, ALGO, na nyingine nyingi kuwepo kwenye account maalumu Kwaajili ya muislamu.

Zaidi kuhusu Islamic and non Islamic account ,👉 Bybit World Centralized Exchange

Baadhi ya platform nyingine zinazotoa Islamic Account 👉 XM Islamic Account

Bybit Tanzania
Watu wameshaona nyie ni fursa. Kuwa makini. Lengo la kila biashara ni faida. Haijalishi unaipa jina gani lakini riba ni riba tu
 
Hakuna kitu Islamic Banks. Ni uhuni tu riba ipo pale pale ila wameibadilishia jina na kuipaka mafuta. NBC walikuwa na hii account.Hamna kitu ni sawa na kukopa bank za kawaida
 
Ni ngumu sana kutokuwa na riba miaka hii kwasababu ya gharama za uendeshaji.
 
Back
Top Bottom