BYE BYE GOMEZ:

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Sikukubaliana na wewe katika mambo haya.
1. Kuwagawa wachezaji katika makundi mawili yaani hawa ni wa benchi la kudumu na wengine wanacheza mechi zote bila mapumziko na hovyo kuwafanya wachezaji hao kuwa ma-God father hapo kwenye club.
2. Kutaka kuanza kuingiza chembe chembe za u-franco fone hapo kwenye club.
3. Huna credentials za kuwa cocha wa timu kama Simba. Kukaa jukwaani ni kichekesho.
4. Kuwatesa wachezaji kisailkoogia kama Ajibu, Mkude, Gadiel Michael, Kagere na wengineo.
5. Kutofanya sub kwa wakati muafaka na hasa kwa hao ma-God father ambao dalili zote zinaonyesha kuwa wamechoka
6. Kuuwa vipaji vya wachezaji wa ndani kwa kuwanyima game time.
7. Kushindwa kusoma matakwa ya mchezo na hivyo kupelekea kupoteza mchezo.
It's a high time now you go back to school for your credentials. I will just miss you a bit.
 
Unafiki mbaya sana. Nina maswali kadhaa ya kukuuliza

Je kama Gomez alikuwa mbaya ilikuwaje Simba ikafika robo fainali msimu uliopita?
..
ilikuwaje akatwaa kocha bora kwa ligi iliyoisha?

Je una takwimu yoyote ya idadi za mechi alizoongoza Gomez kama kocha mkuu; alizoshinda kufungwa na kutoa sare?
.
 
We jamaa ndiyo hufai kuleta uzi kama huu.

Hivi unasemaje kuwa hakufaa ???

Wakati mnasema cv zaidi ya makocha 50 mlipokea mkaibukia kwa da rosa

Kwani darosa alilazimisha kufundisha simba mseme ninyi mliompokea na kumwajiri hamfai kuwa viongozi wa simba

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ameteleza.
 
Keep your stats for yourself, off he goes. Hasta la vista.
 
Makolo makolo makolo nawaita
wacha inyeshe tujue makolo jibuni
 
Tulianza kupenda timu kabla ya mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…