Sasa wameyaona wenyewe Mkuu.[emoji123][emoji120]dah nilipingwa mno na baadhi yetu
Karibu bila shaka... Utanipa contact yako
Shida yako ni Youtube au video streaming platform yenye kila ukitakacho?! Man, kila ambacho kimekuwa blocked China, kina alternative! China hakuna Youtube lakini kuna YouKu. Hii naweza kusema ni kwa ajili ya Wachina tu kwa sababu hata lugha inayotumika ni China! Kwa desktop au mobile phone app za YouKu huwezi kuzi-translate (kwa kutumia Google Translate) Na ingawaje inatumika China peke yake lakini ina mangoma kibao! Hata baadhi ya nyimbo za akina Diamond unazikuta! Pia kuna ma-movie kibao!Marekani kamuuwa kabisa nani anunuwe simu isiyo na YouTube Google map wauze huko china tu
[emoji123][emoji120]dah nilipingwa mno na baadhi yetu
Marekani kamuuwa kabisa nani anunuwe simu isiyo na YouTube Google map wauze huko china tu
Kisasi cha marekani cha kumnyima Android na chip za Intel kinawatosha wachina...Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
unadhani dunia ya leo kuna kutishana,hao wachina wana OS yao kabatini...probably the best kuliko hii android...wasingekua na jeuri hivi
Leo wameshushiwa DIRECT SANCTION na MMAREKANI. Dah naona P20 akiuzwa laki 3 kule kariakoo nap maskini hana hata google wala youtube. Ni KISANGA.
ulitaka kutype samsung mkuu kama ni samsung ni Korea
duh kumbe mzee baba uliona mbaliHasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
Sio waki-invest na kuanza kutengeneza, Huawei walishaanza kutengeza OS yao kitambo mara baada ya kuona figisu figusu za Trump haziishi! Na Wachina walivyo fit kwenye tech, it's a matter of time kabla hiyo OS haijawa one of the best, and am sure kampuni zote za Uchina zitatumia hiyo OS na Google kubakiwa na Samsung peke yake kama mtumiaji mkubwa!!Af kwa mtu mwenye maono ya mbali ataona hapa google wamefanya kosa coz kama hawa jamaa wakiamua kuinvest na kutengeneza alternative ya android basi google watapata pressure sana coz ktk tech hakuna kinachoshindikana tena mbele ya mchina
Nakuhakikishia, ndani ya miaka 3, App Store ya Huawei itaizidi App Store ya iPhone ambayo ipo too restrictive to entry! Huawei wakishatengeneza OS inayokubalika tu, developers across the world watajaza apps zao huko! Leo hii Play Store ndiyo yenye apps nyingi zaidi kuliko iOS App Store kwa sababu, mosi hakuna restrictions to entry lakini pili, Android users ni wengi sana duniani! Sasa Am sure Huawei wakishapata OS ya uhakika, kampuni zingine za China zitahamia huko na hivyo kufanya watumiaji wa simu za OS husika kuwa wengi zaidi duniani na hatimae kuvutia developers wengi zaidi kutengeneza apps for Huawei App Store. Kwa mtindo huu, natoa miaka 5 kabla Google hajajikuta amebaki na Samsung na Google Pixel peke yao kama main consumers wa Android!Tatizo sio kuwa na OS tatizo ni content za Apps kwenye Gallery yao ya Apps... Playstore na Apple's IOS App store ina gallery ya kutosha ya apps... Hakuna OS inaweza kushindana nazo..
Na hichi ndo sababu kubwa ya Nokia Windows phone kufa
Mkuu kwema....kama kuna uwezekano na mimi naomba uniunge kwenye magroup ya biasharaKaribu bila shaka... Utanipa contact yako
mbona keshalipa kisasi hujasikia kazuia kutumika kwa google software ktk android phones ktk huawei