Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
Nakumbuka sana hii habari ilikuwa wanahama kwenda chalinze hahaaaa zamani sana
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
Mimi nipo Mars na ninaipata Jf.........nini Canada bana.............
Kweli watu wana kumbukumbu.nilisoma darasa la tatu
Huko mars pia usisahau kusalimia ndugu zangu...wanaishi kijiji kimoja kinaitwa: Yaeda Chini. Ni hayo tu usisahau.
Huko mars pia usisahau kusalimia ndugu zangu...wanaishi kijiji kimoja kinaitwa: Yaeda Chini. Ni hayo tu usisahau.
Had roho inaniuma sema kweli jamn coz anaondoka jehanam anaenda peponi hongera bna kwa kuihama tz ngoja na sisi tujitahid tuuikimbie
Akirudi nshike shatiUtakua canada sehemu gani maana hata mimi niko canada niwe mwenyeji wako.
Nipm email yako mtoto mzuri..
Had roho inaniuma sema kweli jamn coz anaondoka jehanam anaenda peponi hongera bna kwa kuihama tz ngoja na sisi tujitahid tuuikimbie
Bon voyage my name is my name. Je ni mara yako ya kwanza kupakia ndege na kwenda nje? Hope you enjoy the experience.
Mimi nipo Mars na ninaipata Jf.........nini Canada bana.............
PRETA,
upo mars au upo mwezini? Mi nahisi umejichanganya hapo..................
pengine alidhani JF inabaki kwenye desktop yake anayoiacha tzSidhani kulikuwa na haja ya kutumia neno unatuaga sababu hata utakapo kuwa canada utakuwa bado unaweza ku access jamii forum sababu this is an online application,ulicho takiwa kufanya kwenye hii thread ni kutoa taarifa kuwa unahama tz.