mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Tumia nomino nzuri hapo.. Wanywaji.Ila walevi!!! Kwahiyo hapo shida ni ubora wa bia au logo?
nembo hiyo hiyo toka enzi na enzikunywa chibuku
Lakini "taste" si ni ile ile? au nayo imebadilika? Muonekano usikutishe Mkuu....Ni kama Mademu tu....Aisee hii bia ya Serengeti nilikuwa naipenda sana lakini Kwa Sasa Wacha niipe talaka tatu wamekuja na sticker la hovyo kabisa rangi mbaya sana utafikiri ya chama kile chakavu mtakosa mapato msiporudisha sticker ya zamani kiwanda chenu kinaenda kufa kifo Cha Mende
bado kuna watu wanakunywa haya maleta kisukariAisee hii bia ya Serengeti nilikuwa naipenda sana lakini Kwa Sasa Wacha niipe talaka tatu wamekuja na sticker la hovyo kabisa rangi mbaya sana utafikiri ya chama kile chakavu mtakosa mapato msiporudisha sticker ya zamani kiwanda chenu kinaenda kufa kifo Cha Mende
Kuna akina sisi hatutaki chochote chenye uhusiano na ccm, ikiwa ni pamoja na rangi, nyimbo, kadi, bidhaa n. K. Huyo jamaa yuko sahihi kabisaIla walevi!!! Kwahiyo hapo shida ni ubora wa bia au logo?
Sio kila mywaji ni mlevi heshimu pombe hata hao viongozi wako wa dini wanakunywa kama kawaidaIla walevi!!! Kwahiyo hapo shida ni ubora wa bia au logo?
Makolo huyo hamna loloteIla walevi!!! Kwahiyo hapo shida ni ubora wa bia au logo?
Change is inevitable.Aisee hii bia ya Serengeti nilikuwa naipenda sana lakini Kwa Sasa Wacha niipe talaka tatu wamekuja na sticker la hovyo kabisa rangi mbaya sana utafikiri ya chama kile chakavu mtakosa mapato msiporudisha sticker ya zamani kiwanda chenu kinaenda kufa kifo Cha Mende