Grealish alikuwa anamnyima pasi😁Nikiona Aston Villa namkumbuka 255 Samata.
Mimi nilimkumbuka sana ile siku livakuku anakula goli 7.Nikiona Aston Villa namkumbuka 255 Samata.
Hahah ana mambo mema kwa wakamaria tunasema aishi sana hana baya yaan ukiweka double chance au draw uhakikaYani Ineos hawa wasipo mrusha kipara basi itakuwa ana picha zao za utupu