Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,925
Ifuatayo ni mawasiliano ya Ubalozi wa Marekani kuhusu Tanzania.
Katika Cable, kuna mkutano baina ya Waziri Wa Mambo ya Nje Mr. Malecela na Balozi anayehusika na mambo ya Afrika, Mr. Donald Easum, Umoja wa Mataifa, New York mwaka 1974. Pia kulikuwa na Balozi wetu UN, Mr. Chale na Mr. Muganda (sijui cheo chake).
Katika Mkutano huo, Malecela anaomba msaada wa chakula, jenereta, ujenzi wa hospitali na mbolea kusaidia vijiji vya ujamaa.
Pia, anaomba kama Marekani itaweza kutujengea kiwanda cha juisi kama alichokisoma katika gazeti alipokuwa Jamaica kilichojengwa huko Marekani.
Easum alimuahidi atafuatilia maombi ya serikali ya Tanzania katika yote hayo.
Kabla ya mkutano kwisha, Malecela alisema anataka kuona viongozi wa siasa wa Marekani kuja Tanzania na kujionea kwa macho yao jinsi Tanzania ilivyo masikini na inavyokabiliwa na njaa.
Easum alimuahidi kwamba watajaribu kufanya safari kama hizo.
BALOZI EASUM AWASILI TANZANIA
Kwa kifupi, Easum kakutana na Waziri wa Fedha Mr. Msuya, akamwambia kuwa Watanzania watakabiliwa na uhaba wa chakula sehemu nyingi za nchi hata mvua ikinyesha.
Katika mikutano yake yote na Mawaziri tofauti, Easum kapokelewa kwa heshima sana.
Msuya akataarifiwa kuwa Marekani itatoa msaada wa mbegu za mahindi walionunua kutoka Zambia.
Easum pia, alimkumbusha Msuya kuhusu malipo ya shamba la Mmarekani lililotaifishwa huko Kilimanjaro. Mwenyewe anasubiri kulipwa. Msuya kamuahidi kulifuatilia.
Mr. Lusinde, Waziri wa mawasiliano na kazi, katika mkutano wake, aliishukuru serikali ya Marekani kwa kutoa mkopo wa ujenzi wa barabara ya Tanzania-Zambia highway na kusema kuwa wameomba pia mkopo IMF ili waweze kuitunza vizuri kwa pesa hizo.
Katika mkutano na vice counsellor wa UDSM, Mr. Pius Msekwa, Eusum alimuuliza kwa nini amekataza series za "America" za Alistair Cooke kuonyeshwa. Msekwa akamwambia kuwa alibanwa na TYL branch leaders wa UDSM kufanya hivyo.
MWISHO
PS... Cable ni ndefu mno na nimeweka kwa kifupi. Pia, nimetafsiri kwa kifupi.
Naomba watu waliokuweko au kufahamu mambo yaliyosemwa humu wanielimishe zaidi. Nafahamu kuna wanasiasa wengi wanachangia JF.
Full cable ipo wikileaks.org kama unataka kusoma zaidi.
EASUM MEETING WITH TANZANIAN FOREIGN MINISTER
Date:1974 October 1, 22:41
Foreign Assistance |
EASUM, ACCOMPANIED BY AF/E DIRECTOR COOTE, MET FOR ONE HOUR WITH MALECELA, TANZANIAN PERMREP TO UN CHALE AND BERNARD
MUGANDA ON SEPTEMBER 27 AT UN HEADQUARTERS IN NEW YORK.
EASUM WAS WELL AWARE OF TANZANIA'S NEED FOR FOOD, AND WE WERE GIVING GOT'S REQUEST FOR PL-480 ASSISTANCE OUR MOST CAREFUL CONSIDERATION.
MALECELA STRESSED THAT MOST CRITICAL PERIOD FOR FOOD
ASSISTANCE WAS BETWEEN NOW AND APRIL. ANY ASSISTANCE
GIVEN DURING THIS PERIOD WOULD BE HIGHLY APPRECIATED.
ADDITIONAL ASSISTANCE - NOTING IMPORTANCE OF UJAMAA
VILLAGES IN GOT SCHEME FOR DEVELOPMENT OF RURAL AREAS, MALECELA INQUIRED WHETHER US MIGHT PROVIDE FERTILIZER, SMALL ELECTRIC GENERATORS AND/OR CLINICS FOR VILLAGE PROGRAM.
EASUM SAID HE WOULD ASK AID TO STUDY THIS REQUEST.
MALECELA SAID HE HAD READ NEWSPAPER ARTICLE WHILE IN
JAMAICA RECENTLY THAT US HAD DEVELOPED MOBILE FRUIT-CANNING PLANT COSTING ONLY DOLS 80,000.
THIS COULD BE VERY BENEFICIAL TO TANZANIA. EASUM PROMISED TO TRY TO FIND OUT MORE ABOUT PLANT AND GET BACK TO TANZANIANS.
VISITS TO TANZANIA - AS MEETING DREW TO CLOSE, MALECELA SAID HE HOPED MORE US OFFICIALS AND CONGRESSMEN WOULD VISIT TANZANIA TO SEE FOR THEMSELVES HOW POOR
COUNTRY WAS AND HOW BADLY IT NEEDED FOOD ASSISTANCE.
EASUM AGREED AND SAID WE WOULD TRY TO PROMOTE SUCH TRIPS.
SUMMARY REPORT EASUM VISIT TO TANZANIA
Date:1974 November 7, 11:20
DURING OCTOBER 30 - NOVEMBER 2 VISIT TO TANZANIA, ASSISTANT SECRETARY EASUM HAD FORMAL TALKS WITH MINISTERS FINANCE, COMMUNICATIONS AND WORKS, AND COMMERCE AND INDUSTRY AND MET WIDE-RANGE TANZANIANS AT REPRESENTATIONAL EVENTS HOSTED BY FOREIGN
MINISTER MALECELA, AMBASSADOR AND DCM.
TALKS PROVIDED OPPORTUNITY FOR EMBASSY TO REVIEW SEVERAL ITEMS OUTSTANDING WITH KEY TANGOV OFFICIALS AND TO FURTHER CERTAIN U.S. INTERESTS. TANGOV TOOK LEAD IN ARRANGING APPOINTMENTS FOR EASUM AND THOOUGHTOUT VISIT TANZANIAN OFFICIALS WERE CORDIAL.
NEXT MORNING EASUM CALLED ON MINFINANCE MSUYA WHO GAVE HIS ASSESSMENT CURRENT FOOD SITUATION IN TANZANIA,
I.E., FOOD CRITICALLY SHORT IN SEVERAL AREAS AND EVEN WITH
GOOD RAINS NEXT YEAR FARMERS MIGHT NOT PRODUCE ENOUGH FOOD TO FEED ALL TANZANIANS.
MSUYA LISTENED WITH INTEREST TO EXPLANATION BY AMBASSADOR AND AID DIRECTOR OF STATUS TANGOV REQUEST
FOR PL480 ASSISTANCE AND HE WAS MOST APPRECIATIVE TO LEARN OF U.S. HELP IN PURCHASE OF MAIZE SEED FROM ZAMBIA.
EASUM REMINDED MSUYA THAT AMERICAN WHOSE FARM NATIONALIZED YEAR AGO IN KILIMANJARO REGION IS STILL AWAITING COMPENSATION.
MSUYA PROMISED TO CHECK INTO
THIS.
MINCOMMUNICATIONS AND WORKS LUSINDE SAID TANGOV APPRECIATIVE U.S. HELP ON TANZAM HIGHWAY AND HAD APPROACHED WORLD BANK ABOUT MAINTENANCE LOAN TO ASSURE ROAD KEPT IN GOOD
CONDITION.
EARLY MORNING MEETING WITH VICE CHANCELLOR UDSM PIUS MSEKWA WAS CORDIAL, THOUGH EASUM TOOK OPPORTUNITY TO
QUESTION MSEKWA'S DECISION TO FORBID SHOWING ALISTAIR COOKE'S SERIES "AMERICA" AT UDSM.
MSKEWA ADMITTED HE GAVE IN TO
PRESSURE FROM TYL BRANCH LEADERS AT UDSM TO STOP SCHEDULED SHOWING OF SERIES.
Katika Cable, kuna mkutano baina ya Waziri Wa Mambo ya Nje Mr. Malecela na Balozi anayehusika na mambo ya Afrika, Mr. Donald Easum, Umoja wa Mataifa, New York mwaka 1974. Pia kulikuwa na Balozi wetu UN, Mr. Chale na Mr. Muganda (sijui cheo chake).
Katika Mkutano huo, Malecela anaomba msaada wa chakula, jenereta, ujenzi wa hospitali na mbolea kusaidia vijiji vya ujamaa.
Pia, anaomba kama Marekani itaweza kutujengea kiwanda cha juisi kama alichokisoma katika gazeti alipokuwa Jamaica kilichojengwa huko Marekani.
Easum alimuahidi atafuatilia maombi ya serikali ya Tanzania katika yote hayo.
Kabla ya mkutano kwisha, Malecela alisema anataka kuona viongozi wa siasa wa Marekani kuja Tanzania na kujionea kwa macho yao jinsi Tanzania ilivyo masikini na inavyokabiliwa na njaa.
Easum alimuahidi kwamba watajaribu kufanya safari kama hizo.
BALOZI EASUM AWASILI TANZANIA
Kwa kifupi, Easum kakutana na Waziri wa Fedha Mr. Msuya, akamwambia kuwa Watanzania watakabiliwa na uhaba wa chakula sehemu nyingi za nchi hata mvua ikinyesha.
Katika mikutano yake yote na Mawaziri tofauti, Easum kapokelewa kwa heshima sana.
Msuya akataarifiwa kuwa Marekani itatoa msaada wa mbegu za mahindi walionunua kutoka Zambia.
Easum pia, alimkumbusha Msuya kuhusu malipo ya shamba la Mmarekani lililotaifishwa huko Kilimanjaro. Mwenyewe anasubiri kulipwa. Msuya kamuahidi kulifuatilia.
Mr. Lusinde, Waziri wa mawasiliano na kazi, katika mkutano wake, aliishukuru serikali ya Marekani kwa kutoa mkopo wa ujenzi wa barabara ya Tanzania-Zambia highway na kusema kuwa wameomba pia mkopo IMF ili waweze kuitunza vizuri kwa pesa hizo.
Katika mkutano na vice counsellor wa UDSM, Mr. Pius Msekwa, Eusum alimuuliza kwa nini amekataza series za "America" za Alistair Cooke kuonyeshwa. Msekwa akamwambia kuwa alibanwa na TYL branch leaders wa UDSM kufanya hivyo.
MWISHO
PS... Cable ni ndefu mno na nimeweka kwa kifupi. Pia, nimetafsiri kwa kifupi.
Naomba watu waliokuweko au kufahamu mambo yaliyosemwa humu wanielimishe zaidi. Nafahamu kuna wanasiasa wengi wanachangia JF.
Full cable ipo wikileaks.org kama unataka kusoma zaidi.
EASUM MEETING WITH TANZANIAN FOREIGN MINISTER
Date:1974 October 1, 22:41
Foreign Assistance |
EASUM, ACCOMPANIED BY AF/E DIRECTOR COOTE, MET FOR ONE HOUR WITH MALECELA, TANZANIAN PERMREP TO UN CHALE AND BERNARD
MUGANDA ON SEPTEMBER 27 AT UN HEADQUARTERS IN NEW YORK.
EASUM WAS WELL AWARE OF TANZANIA'S NEED FOR FOOD, AND WE WERE GIVING GOT'S REQUEST FOR PL-480 ASSISTANCE OUR MOST CAREFUL CONSIDERATION.
MALECELA STRESSED THAT MOST CRITICAL PERIOD FOR FOOD
ASSISTANCE WAS BETWEEN NOW AND APRIL. ANY ASSISTANCE
GIVEN DURING THIS PERIOD WOULD BE HIGHLY APPRECIATED.
ADDITIONAL ASSISTANCE - NOTING IMPORTANCE OF UJAMAA
VILLAGES IN GOT SCHEME FOR DEVELOPMENT OF RURAL AREAS, MALECELA INQUIRED WHETHER US MIGHT PROVIDE FERTILIZER, SMALL ELECTRIC GENERATORS AND/OR CLINICS FOR VILLAGE PROGRAM.
EASUM SAID HE WOULD ASK AID TO STUDY THIS REQUEST.
MALECELA SAID HE HAD READ NEWSPAPER ARTICLE WHILE IN
JAMAICA RECENTLY THAT US HAD DEVELOPED MOBILE FRUIT-CANNING PLANT COSTING ONLY DOLS 80,000.
THIS COULD BE VERY BENEFICIAL TO TANZANIA. EASUM PROMISED TO TRY TO FIND OUT MORE ABOUT PLANT AND GET BACK TO TANZANIANS.
VISITS TO TANZANIA - AS MEETING DREW TO CLOSE, MALECELA SAID HE HOPED MORE US OFFICIALS AND CONGRESSMEN WOULD VISIT TANZANIA TO SEE FOR THEMSELVES HOW POOR
COUNTRY WAS AND HOW BADLY IT NEEDED FOOD ASSISTANCE.
EASUM AGREED AND SAID WE WOULD TRY TO PROMOTE SUCH TRIPS.
SUMMARY REPORT EASUM VISIT TO TANZANIA
Date:1974 November 7, 11:20
DURING OCTOBER 30 - NOVEMBER 2 VISIT TO TANZANIA, ASSISTANT SECRETARY EASUM HAD FORMAL TALKS WITH MINISTERS FINANCE, COMMUNICATIONS AND WORKS, AND COMMERCE AND INDUSTRY AND MET WIDE-RANGE TANZANIANS AT REPRESENTATIONAL EVENTS HOSTED BY FOREIGN
MINISTER MALECELA, AMBASSADOR AND DCM.
TALKS PROVIDED OPPORTUNITY FOR EMBASSY TO REVIEW SEVERAL ITEMS OUTSTANDING WITH KEY TANGOV OFFICIALS AND TO FURTHER CERTAIN U.S. INTERESTS. TANGOV TOOK LEAD IN ARRANGING APPOINTMENTS FOR EASUM AND THOOUGHTOUT VISIT TANZANIAN OFFICIALS WERE CORDIAL.
NEXT MORNING EASUM CALLED ON MINFINANCE MSUYA WHO GAVE HIS ASSESSMENT CURRENT FOOD SITUATION IN TANZANIA,
I.E., FOOD CRITICALLY SHORT IN SEVERAL AREAS AND EVEN WITH
GOOD RAINS NEXT YEAR FARMERS MIGHT NOT PRODUCE ENOUGH FOOD TO FEED ALL TANZANIANS.
MSUYA LISTENED WITH INTEREST TO EXPLANATION BY AMBASSADOR AND AID DIRECTOR OF STATUS TANGOV REQUEST
FOR PL480 ASSISTANCE AND HE WAS MOST APPRECIATIVE TO LEARN OF U.S. HELP IN PURCHASE OF MAIZE SEED FROM ZAMBIA.
EASUM REMINDED MSUYA THAT AMERICAN WHOSE FARM NATIONALIZED YEAR AGO IN KILIMANJARO REGION IS STILL AWAITING COMPENSATION.
MSUYA PROMISED TO CHECK INTO
THIS.
MINCOMMUNICATIONS AND WORKS LUSINDE SAID TANGOV APPRECIATIVE U.S. HELP ON TANZAM HIGHWAY AND HAD APPROACHED WORLD BANK ABOUT MAINTENANCE LOAN TO ASSURE ROAD KEPT IN GOOD
CONDITION.
EARLY MORNING MEETING WITH VICE CHANCELLOR UDSM PIUS MSEKWA WAS CORDIAL, THOUGH EASUM TOOK OPPORTUNITY TO
QUESTION MSEKWA'S DECISION TO FORBID SHOWING ALISTAIR COOKE'S SERIES "AMERICA" AT UDSM.
MSKEWA ADMITTED HE GAVE IN TO
PRESSURE FROM TYL BRANCH LEADERS AT UDSM TO STOP SCHEDULED SHOWING OF SERIES.