CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

XII Tz

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
4,345
Reaction score
7,076
Your nominees for Club of the Year (MEN) award are here!

#CAFAwards2023

============
1698833289461.png

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza Timu za Taifa, Vilabu na Wachezaji wanaowania tuzo hizo mwaka 2023 ambapo Taifa Stars ya Tanzania itachuana na Timu za Taifa za Cape Verde, Gambia, Guinea Bissau, Equatorial Guinea, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia na Senegal.

Kwa upande wa Vilabu, Mabingwa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga Africans inashindana na CR Belouizdad, USM Alger, ASEC Mimosas, AL Ahly FC, Raja CA, Wyadad AC, Mamelodi Sundowns, Marumo Gallants, na ES Tunis.

Tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika Desemba 11, 2023 Nchini Morocco, zimeiacha nje ya kinyang'anyiro Klabu ya Simba kutoka Tanzania.

1698833337416.png

1698838362776.png


1698833212721.png

1698833391821.png

1698833409683.png
 
Nimeona kwenye list wamewekwa wa mwisho, na ndo itakavyokuwa hadi the end. Yaani Utopolo awe wa kwanza mbele ya USM Algiers aliyebeba CAFCC? Au mbele ya Mamelodi yenye ule moto mkali?

Au wanatafuta kununa kama Mbappe kwenye tuzo za Balloon D'or huku akijua record hazimbebi mbele ya Haarland na Messi?
Sahihi mkuu wamefichwa kabisa huko pembeni
 
Back
Top Bottom