CAF Champions League: Simba yatinga hatua ya makundi

Refa kawasaidia kuna penati ya kabla ya hiyo alipata, offside nyingi zilizokuwa siyo halali
 
Kwa kweli ni furaha kwa mashabiki wa simba sc na nchi kwa ujumla.....ila kusema kweli jamani ile penalti ya nyoni au lile goli la kwanza kama huna uzoefu unaweza kukosa kwa presha hata kama ni hodari wa kupiga penati.

Bwalya leo kacheza sana ila cha muhimu ni kuwa tena kwa herufi kubwa kabisa WACHEZAJI WAZAWA HASAHASA VIUNGO NA WASHAMBULIAJI WANATAKIWA WAJIFUNZE KUTOKA KWA HAWA WACHEZAJI WA KIGENI MFANO KAMA HAWA WA SIMBA.
 
Sub ya Ndemla akaingia Ame ile ndio imewakatisha tamaa Platinum
 
Kwanza hata kabla ya hiyo penati kulikuwa na penalty nyingine ambayo Mwamuzi aliifunika. Miquissone alikuwa kwenye box akiufukuzia mpira kisha beki mmoja akampiga kiwiko na kumwangusha. Dogo alilalamika sana kwa kitendo kile cha mwamuzi kuifunika penalty ile, ambayo ilikuwa ya wazi zaidi kuliko hata ile ya pili.

Wanaonung'unikia penalty iliyotolewa hawasemi lolote kuhusu penalty ya kwanza ambayo Simba walinyimwa.
 
Nisipokuwa makini leo inaweza kuwa mwanzo wa kunywa pombe
Acha uong.....wewe ni mlevi mbwa, nakujua vizuri tu kuanzia ulipokuwa ukiishi pale misigiri hadi mara ya mwisho nakuona Tabora kwenye harusi ya jamaa yetu mmoja Wa Temesa sasa hivi yupo wizara ya fedha.

Ulikuwa talalila mpaka ukapoteza /kuibiwa Camera.
Unakumbuka?
Bavicha bhana kwa uongo kama kiongozi wenu DJ.
 
Kuna zile offside za Uongo aisee. Marefa wa Africa bado sana.
 
Hongereni Mikia, Refa kawabeba. Kitu kimoja team zetu za East Africa tulikuwa tunafail ni mikakati nje ya uwanja Kama hiyo ya refa.. Hongereni kwa kulijua hilo
Africa watu wanashinda kwao tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…