Hapa ndio tunapokosea kisema wajifunze...kwani wanajifunza kwa kuangalia....wachezaji wanaandaliwa sie ndio tunapokoseaKwa kweli ni furaha kwa mashabiki wa simba sc na nchi kwa ujumla.....ila kusema kweli jamani ile penalti ya nyoni au lile goli la kwanza kama huna uzoefu unaweza kukosa kwa presha hata kama ni hodari wa kupiga penati...bwalya leo kacheza sana ila cha muhimu ni kuwa tena kwa herufi kubwa kabisa WACHEZAJI WAZAWA HASAHASA VIUNGO NA WASHAMBULIAJI WANATAKIWA WAJIFUNZE KUTOKA KWA HAWA WACHEZAJI WA KIGENI MFANO KAMA HAWA WA SIMBA.......
Hilo la kuandaliwa ni jingine linahitaji mikakati pia na ni vzuri.....ila sasa hawa waliopo watabaki hivhiv na kushangaa tu lazima wajitafakari kuwa kumbe hatujamaliza kuna mambo mawili matatu ya kuchukua kutoka kwa wageni.Hapa ndio tunapokosea kisema wajifunze...kwani wanajifunza kwa kuangalia....wachezaji wanaandaliwa sie ndio tunapokosea
Braza copy and paste ingekuwa rahisi hivyo basi ata sie tungeshakuwa donor country zamani. Mpaka leo ata kutengeneza gari hatuwezi so kuwa na foreign players playing in the league haimaanishi kuwa magicaly wachezji wetu watakuwa wazuri kivile.Hilo la kuandaliwa ni jingine linahitaji mikakati pia na ni vzuri.....ila sasa hawa waliopo watabaki hivhiv na kushangaa tu lazima wajitafakari kuwa kumbe hatujamaliza kuna mambo mawili matatu ya kuchukua kutoka kwa wageni.
Mkuuu Kati ya Siku umeniudhi ni leo kwa kutoanzisha Uzi wa Live Update! Mungu anakuona kuiacha WIDA ipite hivi hivi na vi Uzi vya chekechea!Nisipokuwa makini leo inaweza kuwa mwanzo wa kunywa pombe
Mugalu ni zero, amegusa mpira mara nne tu.Mkuuu
Chikwende abaki dar..mugalu hatoshi,
Mkuu Kuanzia leo ni wikiendi. Tutakutana kazini JumatatuLeo mashabiki wa simba tunaamka saa ngapi?
Matarajio yako hayajafanikiwa.. PumbafuHongereni Mikia, Refa kawabeba. Kitu kimoja team zetu za East Africa tulikuwa tunafail ni mikakati nje ya uwanja Kama hiyo ya refa.. Hongereni kwa kulijua hilo
Dozee dozee boss ndio maana akatolewaMugalu ni zero, amegusa mpira mara nne tu.
Hakabi, hata kupiga chenga hawezi.
Ni mzito kama gunia la chumvi.
Alipokuwa uwanjani Simba walicheza watu tisa tu.
Anatembea tu uwanjani na kutafuna big G.
Akisubiri kuotea
Wewe utakufa na kiolo acha upuuzi asiyekubali kushinda si mshindi utaumia roho bure kubali tu Simba ndio beberu la kaziHongereni Mikia, Refa kawabeba. Kitu kimoja team zetu za East Africa tulikuwa tunafail ni mikakati nje ya uwanja Kama hiyo ya refa.. Hongereni kwa kulijua hilo
ππ kuna nini eti Mtani?
Wida imefanya kazi yakeππ kuna nini eti Mtani?
Pole kwa aliyekukosea adabu ila tunakukaribisha tusherekee pamojaππ kuna nini eti Mtani?
Hahahah pole kwa kweli mwanaLunyasinakunywa milendaaa haaa haa