Simba amekosaje hapo ewe kolowizardHizi ndizo baadhi ya timu dhaifu ambazo zitaingia makundi na zote zitawekwa port 4 na 3 isipokuwa MAZEMBE
=>Medeama/ Horoya
=>Big bullet/ To Mazembe
=>Al Ahly Benghazi/ ASEC Mimosas
=>Real Bamako/ Nouadhibou
=>Primerio De Agosto/ Al hilal Omduman
=>Al Merreikh/ Young Africa
NB: Baadhi.
Yaani team dhaifu umeiweka na Yanga halafu unaisahau Simba? We sio mzima.Hizi ndizo baadhi ya timu dhaifu ambazo zitaingia makundi na zote zitawekwa port 4 na 3 isipokuwa MAZEMBE
=>Medeama/ Horoya
=>Big bullet/ To Mazembe
=>Al Ahly Benghazi/ ASEC Mimosas
=>Real Bamako/ Nouadhibou
=>Primerio De Agosto/ Al hilal Omduman
=>Al Merreikh/ Young Africa
NB: Baadhi.
Mpinge kwa takwimu.AuMada za mashaniki wa makolo wakiwa wametoka kula wapo sebulen kwa shemeji anaangalia Azam tv sinema zetu
Timu dhaifu kwa sababu zimeanza raundi ya awali.Yaani team dhaifu umeiweka na Yanga halafu unaisahau Simba? We sio mzima.
Vituko haviishi kwa mashabiki wa bongo, kila siku mnaimba humu kuwa klabu bingwa wanacheza timu bora pekee hakuna timu dhaifu. Leo mnageuza kibao kumbe kunakuwaga na timu dhaifuHizi ndizo baadhi ya timu dhaifu ambazo zitaingia makundi na zote zitawekwa port 4 na 3 isipokuwa MAZEMBE
=>Medeama/ Horoya
=>Big bullet/ To Mazembe
=>Al Ahly Benghazi/ ASEC Mimosas
=>Real Bamako/ Nouadhibou
=>Primerio De Agosto/ Al hilal Omduman
=>Al Merreikh/ Young Africa
NB: Baadhi.
Ajabu SanaVituko haviishi kwa mashabiki wa bongo, kila siku mnaimba humu kuwa klabu bingwa wanacheza timu bora pekee hakuna timu dhaifu. Leo mnageuza kibao kumbe kunakuwaga na timu dhaifu
"Kimya kingi kina mshindo"Unaweza kudhani kwamba Utopolo wamecheza makundi ya Champions League miaka ya karibuni kwa ngebe zao.Kumbe ni umri wa mtu mzima.Miaka 25 iliyopita.Mwiko nyuma kelele nyingi.Na ukubwa unaosemwa si wakukaa kama ndugu watazamaji na kupokea wageni kwa miaka 25.
Kila kitu kina mwanzo, Simba ilichukua miaka mingapi kufika makundi?Unaweza kudhani kwamba Utopolo wamecheza makundi ya Champions League miaka ya karibuni kwa ngebe zao.Kumbe ni umri wa mtu mzima.Miaka 25 iliyopita.Mwiko nyuma kelele nyingi.Na ukubwa unaosemwa si wakukaa kama ndugu watazamaji na kupokea wageni kwa miaka 25.
Swali zuri tafuta jawabu halafu linganisha.At least wewe unafikiri.Kila kitu kina mwanzo, Simba ilichukua miaka mingapi kufika makundi?