OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
wekambali na batotoπͺπͺWameshamtangaza Chama ameshinda hiyo π¦π¦
Kwani una tuzo ya matusi hadi uaibishe wenzio wasionekane hawana hekima?Kati ya Chama na Aziz kinyesi yupi mkali?
tusi liko wapi hapo shehee,punguza hasira shehe.Kwani una tuzo ya matusi hadi uaibishe wenzio wasionekane hawana hekima?
Ushabiki wa mpira usitufanye Mashabiki wa Simba na Yanga tukawa Mazumbukuku jamani.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mimi nikiwa na akili zangu timamu sijashikiwa bunduki, nikaamua nichome viatu vyangu vya mpira moto, haiwezekani chama acheze mpira eti na mimi nicheze mpira.Huyo ni Triplle C mwamba wa Lusaka
##weka mbali na wafukuza upepo##
Leo na wewe umekua na hekima π π π nimekumbuka comment yako ya janaKwani una tuzo ya matusi hadi uaibishe wenzio wasionekane hawana hekima?
Ushabiki wa mpira usitufanye Mashabiki wa Simba na Yanga tukawa Mazumbukuku jamani.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeonaa ee inabidi upambane tuu ππMimi nikiwa na akili zangu timamu sijashikiwa bunduki, nikaamua nichome viatu vyangu vya mpira moto, haiwezekani chama acheze mpira eti na mimi nicheze mpira.
Wakati nataka kuchoma viatu moto nikakumbuka kumbe kuna kina jesus moloko wanacheza mpira kuna kina kibu D nimeghairi kuchoma viatu vyangu moto π€£
CAF wamehongwa na Mudi..Mchezaji ambaye hajitumi uwanjani, hakimbii, yupo slow, mchezaji wa mechi ndogo leo imekuwaje CAF wakatoa recognition ya ubora kwa mchezaji wa namna hiyo?
Sijawahi kukosa hekima ingawa si mkamilifu kwa 100% ISIPOKUWA huwa niko neutral kulingana na jinsi utavyoingia kwenye 18 zangu, yani ukija kiusiku usiku nami nitakujia kiusiku usiku halikadhalika ukinijia kimchana mchana nami ndivyo nitavyokuwa.Leo na wewe umekua na hekima [emoji38] [emoji38] [emoji38] nimekumbuka comment yako ya jana