CAF huenda wakaikataa Jezi Majengo, Vifusi, Minara na Machinjio ya Vingunguti ya Klabu Moja Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti.

Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua za Wasiojua ya Awali kabisa ) kutokana na CAF kutoikubali kabisa Jezi Kituko yao.
 
Una utahira mwingi 😂 sijawahi ona mtu wa mara poyopoyo kama wewe, SEMA nasikia unakamatiaga chuma ya jamaa Yako pale PPF 🙈🙈
 
Shida hasa iko wapi wakiikataa hiyo jezi? Utakosa kula ugali na kauzu hapo nyumbani kwenu?
 

Bro unawazaga sana nje ya Box dah [emoji23][emoji23] watani safari hii jezi ya nyumbani mmepigwa
 
Vinyeo fc hangaikeni sana sisi Wala hatulingi lzm jezi ziuzwe sanaaa
 
Jezi hiyo ni mwendelezo wa iliyopita.

Jezi iliyopita ijazwa misukule, na hii imeleta makazi ya wale jamaa🤣

Wasiitukanishe ikulu yetu hawa
 
Shida hasa iko wapi wakiikataa hiyo jezi? Utakosa kula ugali na kauzu hapo nyumbani kwenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah sitakiiii, maskinii weee km nakuona unadondosha chozi, weraaaaaaaaah

Byuti byuti.
 
Jezi hiyo ni mwendelezo wa iliyopita.

Jezi iliyopita ijazwa misukule, na hii imeleta makazi ya wale jamaa[emoji1787]

Wasiitukanishe ikulu yetu hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vibwengo waliomba hifadhi, huku nje jua ni kali mnooo. Uwiiiiiiih.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…