GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Zilizobanduliwa ni za msimu mpya?Za kwetu huenda zikawa mbaya zaidi sio kwa kubandua kule,
, Tusubiri
Shida hasa iko wapi wakiikataa hiyo jezi? Utakosa kula ugali na kauzu hapo nyumbani kwenu?Jezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti.
Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua za Wasiojua ya Awali kabisa ) kutokana na CAF kutoikubali kabisa Jezi Kituko yao.
Za kwetu huenda zikawa mbaya zaidi sio kwa kubandua kule,
, Tusubiri
Wewe pia ni Mwanaume tokea lini?Mkuu, Vipi mbona una roho mbaya sanaaa? Nachelewa kukuitwa mwanaume mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti.
Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua za Wasiojua ya Awali kabisa ) kutokana na CAF kutoikubali kabisa Jezi Kituko yao.
Huyoni mtusianarohombayasana anasurakamakiatuMkuu, Vipi mbona una roho mbaya sanaaa? Nachelewa kukuitwa mwanaume mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinyeo fc hangaikeni sana sisi Wala hatulingi lzm jezi ziuzwe sanaaaJezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti.
Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua za Wasiojua ya Awali kabisa ) kutokana na CAF kutoikubali kabisa Jezi Kituko yao.
Jezi hiyo ni mwendelezo wa iliyopita.Jezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti.
Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua za Wasiojua ya Awali kabisa ) kutokana na CAF kutoikubali kabisa Jezi Kituko yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah sitakiiii, maskinii weee km nakuona unadondosha chozi, weraaaaaaaaahShida hasa iko wapi wakiikataa hiyo jezi? Utakosa kula ugali na kauzu hapo nyumbani kwenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vibwengo waliomba hifadhi, huku nje jua ni kali mnooo. Uwiiiiiiih.Jezi hiyo ni mwendelezo wa iliyopita.
Jezi iliyopita ijazwa misukule, na hii imeleta makazi ya wale jamaa[emoji1787]
Wasiitukanishe ikulu yetu hawa
Heheheh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vibwengo waliomba hifadhi, huku nje jua ni kali mnooo. Uwiiiiiiih.