CAF mmesubiri tutinge robo final mje kutuaibisha na hii adhabu ilikuwa wapi kwani?

CAF mmesubiri tutinge robo final mje kutuaibisha na hii adhabu ilikuwa wapi kwani?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nimewaza na kuwazuia sanaa

Hivi kwa nini Sxafen walipewa adhabu mapema kabisaaa. Hili hali wotee walifanya Fujo na Simba siku Moja

Iweje Hawa jamaa leoo wameona tumeingia robo final

WANAANZA kutuadhibu

Adhabu yetu ilikuwa wapiii kwani?

Kwa nini wasubirie Simba tuingie robo final ndio watupe adhabu kama hiii

JE uungwana kweli?

TFF mnahuraji kuhiji hilii..anyway. Tupendane tukiwa haiiii
 
Ndo maana hajafuzu huyo aliepewa adhabu mapema...
Ubaya ubwela....
 
Nimewasha na kuwazuia sanaa

Hivi kwa nn sxafen walipewa adhabu mapema kabisaaa
Hili hali wotee walifanya Fujo na Simba siku Moja

Iweje Hawa jamaa leoo wameona tumeingia robo final

WANAANZA kutuadhibu

Adhabu yetu ilikuwa wapiii kwani??

Kwa nn wasubirie Simba tuingie robo final ndio watupe adhabu kama hiii


JE uungwana kweli

Tff mnahuraji kuhiji hilii..anyway

Tupendane tukiwa haiiiii....
Adhabu waloyopewa Sfaxien haihusiani kabisa na mechi ya simba. Hiyo ilikuwa ni adhabu kutokana na fujo walizofanya walipocheza na constatine
 
Hivi kwa nn sxafen walipewa adhabu mapema kabisaaa
Hili hali wotee walifanya Fujo na Simba siku Moja
Wewe utopolo subiri mechi zako, Simba imeshafuzu mwakarobo
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mkae mtulie mnyanduaji hapangiwi muda wakunyandua
 
Back
Top Bottom