Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Huyo refa wako ni mwamuzi wa akiba,yaani kazi yake ni kubadilisha subsKiboko ya Makolo aka Zuchu(siji)FC.
Kama atalipwa pesa haina shida hiyoHuyo refa wako ni mwamuzi wa akiba,yaani kazi yake ni kubadilisha subs
Hongera sana Ahmed Arajiga! Hakika unastahili pongezi kwa hii hatua uliyoifikia. Wewe kwa sasa ndiyo mwamuzi bora kati nchini. Na hili ni somo kubwa sana kwa wale mbumbumbu wanaokupuuza.Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuwa miongoni mwa waamuzi watakaosimamia mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Pyramids FC ya Misri na FC FAR ya Morocco.
Soma: Arajiga, Komba wachaguliwa kuchezesha CHAN 2025
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 1, 2025, kwenye Uwanja wa 30 June, Cairo, Misri. Uteuzi wa Arajiga unadhihirisha maendeleo ya waamuzi wa Tanzania katika medani ya soka barani Afrika.
TOPOLO, utalijua tu!Kiboko ya Makolo aka Zuchu(siji)FC.
Kwani kakataa na kulea mtoto licha ta kuikana mimba?Mganga wa hili macho kengeza aongezewe poaho, maana sio tapeli kabisa.
Baba silipendi hili, yaan had CAF wanaliteua lichezeshe match, bas ulozi wake umevuka mipaka.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Game moja hivi sikumbuki ilikuwa ni AC Milan na team gani hakimu alikuwa ni huyu mwamba.