CAF wanaipendelea Simba? Hii tena imenishangaza. Ina maana hawaoni juhudi zetu hawa watu?

Simba itasajili kweli?
 
Simba wanapaswa na walipaswa kusajili.

Timu ina madhaifu kibao Fadru anajifanya mjanja.

Anyway kupanga ni kuchagua.
 
Nikisoma mada za aina hii, akili yangu huwa inanipeleka moja kwa moja kwenye ile kauli ya Rage aliyoitoa kwenye ule mkutano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…