CAF wanaipendelea Simba SC; Barbara aalikwa fainali za AFCON

CAF wanaipendelea Simba SC; Barbara aalikwa fainali za AFCON

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali

Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo kwenda kushuhudia fainali za CAf

Screen Shot 2022-02-03 at 6.40.44 PM.png
 
Sawa chawa wa Babra sasa nenda katoe buku mbili jero kwenye muamala.
 
Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali

Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo kwenda kushuhudia fainali za CAf

View attachment 2106621
Aah wapi, amenunua tu ticket anaenda,
Kama mnabisha wekeni Barua yake ya mualiko.
 
Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali

Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo kwenda kushuhudia fainali za CAf

View attachment 2106621
Kumbuka huyo ni demu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sasa barabara kualikwa kwenye fainali kuna uhusiano gani na CAF kuipendelea Simba sc.? Basi na ninyi mpendelewe na FIFA basi
 
mashabiki wa mbumbumbuuuu FC ni shida tupu,
 
Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali

Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo kwenda kushuhudia fainali za CAf

View attachment 2106621
Hii ndio barua ya mwaliko?
 
"A very hard working woman doing a lot for football" - CAF

Mtu anayeitambulisha, kuiwakilisha, na kuiletea sifa nchi lakini hapa nyumbani anafanyiwa visa na wajinga wanaoongoza mpira.
Mpaka polisi wamempeleka lakini anaheshimika kimataifa
 
Huku CAF wakiwa wametoa ruhusa kwa mashabiki 35 k tarehe 13 isisahaulike kwamba kuna wehu waliwahi kubishana nao wakatoa hadi flyers za bei siku wanacheza na wapopo wakalitia taifa aibu kutolewa mechi za awali

Sasa basiii...Caf has done it again wamemualika adui wa matapeli ya soka la bongo kwenda kushuhudia fainali za CAf

View attachment 2106621

yanga_forever_lover~p~CZi7D58q-qD~1.jpg
 
Back
Top Bottom