Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
CAF imefungua usajili kwa timu zilizoingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho ili kufanya mabadiliko kwenye vikosi vyao.
Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kwenye klabu.
Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kwenye klabu.