Source!CAF imefungua usajili kwa timu zilizoingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho ili kufanya mabadiliko kwenye vikosi vyao
Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kwenye klabu.
Hii habari kaitolea kwa Micky Jnr na hakuna source yeyote nyingine iliyozungumzia hilo hata kwenye page za CAF sijaionaSource!
Source!
Hizi Habari za kuokotaokota ni shida yan, mechi za robo fainal zinaanza wiki hii na dirisha la kuruhusu kusajili kwa ajili ya robo fainal lifunguliwe tena wiki hii[emoji56][emoji56][emoji3]Hii habari kaitolea kwa Micky Jnr na hakuna source yeyote nyingine iliyozungumzia hilo hata kwenye page za CAF sijaiona
Watanzania wanaongoza kwa kuokota okota na hata hawajiulizi mara mbili mbili kabla ya kuokota...Hizi Habari za kuokotaokota ni shida yan, mechi za robo fainal zinaanza wiki hii na dirisha la kuruhusu kusajili kwa ajili ya robo fainal lifunguliwe tena wiki hii[emoji56][emoji56][emoji3]
mpumbavu tu huyoMangungu is typing
Wewe umesikia wapi????CAF imefungua usajili kwa timu zilizoingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho ili kufanya mabadiliko kwenye vikosi vyao.
Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kwenye klabu.
Chasambi amesajiliwa CAF na mechi dhidi ya Jwaneng alicheza na kufunga goliUnachanganya Jobe ni mzuri ila hapewi tu muda mwingi.
Pale Ondoa Freddy ingiza Kramo.CAF.
Ondoa Miquessoni ingiza Chasambi.CAF
Jobe Bado mdogo kiumri na anapambana vizuri tu.
Ondoa Barbarkar ingiza yule beki wa Simba Mtanzania aliyetokea Ligi ya Kenya.
Hii ni Pumba ya Wiki..Unachanganya Jobe ni mzuri ila hapewi tu muda mwingi.
Pale Ondoa Freddy ingiza Kramo.CAF.
Ondoa Miquessoni ingiza Chasambi.CAF
Jobe Bado mdogo kiumri na anapambana vizuri tu.
Ondoa Barbarkar ingiza yule beki wa Simba Mtanzania aliyetokea Ligi ya Kenya.
Unachanganya Jobe ni mzuri ila hapewi tu muda mwingi.
Pale Ondoa Freddy ingiza Kramo.CAF.
Ondoa Miquessoni ingiza Chasambi.CAF
Jobe Bado mdogo kiumri na anapambana vizuri tu.
Ondoa Barbarkar ingiza yule beki wa Simba Mtanzania aliyetokea Ligi ya Kenya.
Sasa wewe kucha kutwa humu kwenye nyuzi za Simba na Yanga unatafuta nini kama sio unafuatilia habari na comment za Simba na Yanga? Kwanini usitulie ufanye shughuli zako uache wanaopoteza muda? Yaani wewe ndio unaongoza kwa kurukwa na akili ila siku zote chizi hajioni ila anaona wenzie ndio machizi.Kitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Acha kusema hivyo huyo ndio mastermind wa timumpumbavu tu huyo
Trust me broo:Source!
ndio maana timu ni mbovu kwa sababu mastermind ni mbovuAcha kusema hivyo huyo ndio mastermind wa timu