Wakati wanawapa uanachama waliambiwa kuwa Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania? Walitumia vigezo vipi kukubali maombi ya ZFA?Shirikisho la Soka Barani Afrika(CAF) leo limeifutia uanachama wa Zanzibar ikiwa ni miezi 4 baada ya kupewa uanachama huo.
Rais wa CAF amesema kuwa wamechukua uamuzi huo kwakuwa hawawezi kuruhusu kuwa na vyama viwili kutoka nchi moja(Yaani TFF na ZFA).
Itakua hii [emoji116]Naomba link ya hii habari
Wakati wanaipatia uana-chama hawakujua Zenj ni sehemu ya Tanzania?Shirikisho la Soka Barani Afrika(CAF) leo limeifutia uanachama wa Zanzibar ikiwa ni miezi 4 baada ya kupewa uanachama huo.
Rais wa CAF amesema kuwa wamechukua uamuzi huo kwakuwa hawawezi kuruhusu kuwa na vyama viwili kutoka nchi moja(Yaani TFF na ZFA).
πππ sawa una uhuru wa kutoa ulichofikiria haha
We si umeomba link lakini? [emoji23] [emoji23]πππ sawa una uhuru wa kutoa ulichofikiria haha
hahaha yaani jibu lako sihukumu maana hakuna namna naweza kukubana wala kunibana ila nilikuwa namaanisha source mkuuWe si umeomba link lakini? [emoji23] [emoji23]