Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Sep 6, 2010 #1 Inasemekena kwamba A. Kassim (mfungaji wa goli pekee la stars) alivaa jezi namba 10 ya J. Tegete ambaye kwasasa ametemwa na Kocha mpya (Paulsen). Click to expand... My Take: Kama mchezaji akitemwa katika timu ya taifa, jezi namba aliyokuwa anavaa hairuhusiwi kuvaliwa na mchezaji mwingine? Source: Global Publishers
Inasemekena kwamba A. Kassim (mfungaji wa goli pekee la stars) alivaa jezi namba 10 ya J. Tegete ambaye kwasasa ametemwa na Kocha mpya (Paulsen). Click to expand... My Take: Kama mchezaji akitemwa katika timu ya taifa, jezi namba aliyokuwa anavaa hairuhusiwi kuvaliwa na mchezaji mwingine? Source: Global Publishers