beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Shirikisho la Mpira ya Miguu Afrika (CAF) limesema mashabiki wataruhusiwa kutazama mechi ya kufuzu AFCON kati ya Tanzania na Tunisia
Mechi itachezwa Jijini Dar katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 17, 2020. CAF imesema idadi ya mashabiki itakuwa nusu (50%) ya uwezo wa Uwanja
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema linafanya mawasiliano na Serikali kukidhi matakwa ya CAF
Mechi itachezwa Jijini Dar katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 17, 2020. CAF imesema idadi ya mashabiki itakuwa nusu (50%) ya uwezo wa Uwanja
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema linafanya mawasiliano na Serikali kukidhi matakwa ya CAF