Nawapongeza sana TFF kwa jitihada kubwa walizofanya kuishawishi CAF kwamba hapa nchini kwetu Hakuna Corona.Shirikisho la Mpira ya Miguu Afrika (CAF) limesema mashabiki wataruhusiwa kutazama mechi ya kufuzu AFCON kati ya Tanzania na Tunisia
Mechi itachezwa Jijini Dar katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 17, 2020. CAF imesema idadi ya mashabiki itakuwa nusu (50%) ya uwezo wa Uwanja
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema linafanya mawasiliano na Serikali kukidhi matakwa ya CAF
Ninkweli hasa ukizingatia timu zetu zinategemea mapato ya mlangoninkwa asilimia kubwaNawapongeza sana TFF kwa jitihada kubwa walizofanya kuishawishi CAF kwamba hapa nchini kwetu Hakuna Corona.
Ila nawashauri waende mbali zaidi kwamba hiyo 50% siyo sahihi maana Tanzania ni mahala salama kabisa hivyo CAF waheshimu Na kuwaruhusu mashabiki kuingia bila Kikomo cha Idadi ya 50%
Timu zetu zipi? Hiyo ni National team mtaalamuNinkweli hasa ukizingatia timu zetu zinategemea mapato ya mlangoninkwa asilimia kubwa