CAF yatoa list ya Klabu Bora 50 Afrika Yanga haimo- je yanga imezidiwa hata na Azam na SIMBA??

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU BARANI AFRICA (CAF) LIMETOA ORODHA YA VILABU 50 BORA AFRICA. KLABU YA SIMBA IKIWA INASHIKA NAFASI YA 32. TIMU YA YANGA IKIWA HAIPO KABISA KWENYE ORODHA HII YA TIMU 50 BORA. Swali INAMAANA YANGA HAITAMBULIWI NA CAF AU YANGA NI TIMU YA TANZANIA TU?
 
Unaweza ukakuta uchumi ni wa watu na sio wa Yanga lol!maneno meeeeengi kumbe yanaishia migomeniiii
 
Yanga nayo kuwa timu?? Eti haturuhusu mpinzani kuonyesha mechi kwenye tv yake!! Mawazo mgando sana!! Keep up AzamTV
 

Hizo ratings zinabadilika kila mwaka kutegemea ushiriki wa timu kwenye mashindano ya CAF. Mwaka jana Yanga haikuwemo. Usisahau kuwa Yanga ndio timu iliyotwa ubingwa wa Tanganyika/Tanzania mara nyingi zaidi kuliko timu nyingine yoyote. Mabingwa wa kihistoria Tanzania.
 
Msimu ulioisha yanga haikushiriki mashindano ya kimataifa ndo sabbu haimo.

Na hivi hawataki kuonyeshwa kwenye TV ndo watapotea mazima kabisa katika anga za kimataifa
 
mpira wa Yanga, Hata SIMBA pia ni ewa kwenye magazeti yetu ya nyumbani, uhalisia unaonesha kua hakuna ubora zaidi ya kipimo cha kujisifu hapa nyumbani, tujipime na kufanya mambo na si kupiga stori kwenye kahawa na kudanganyana kuwa tuna klabu bora, nyakati za kudanganyana zimepita, tunahitaji kwenda world cup, Yanga inaubora sana wa kuiba wachezaji wa Simba, lakinihaina ubora wa kusajili yenyewe, ina mashabiki wengi lakini haitumii rasilimali watu vizuri, porojo zinaua michezo nchini, siasa na michezo tumeshindwa kuzitenganisha, tutalia milele
 
Simba imeingia kwene 50 bora baada ya kukojolewa mabao kadhaa na Libolo. Yani nkikumba mbavu sina/
 
....Usisahau kuwa Yanga ndio timu iliyotwa ubingwa wa Tanganyika/Tanzania mara nyingi zaidi kuliko timu nyingine yoyote. ...
Punguza mapovu, umeambiwa rating za kimataifa, sasa hiyo Tanganyika hujui inaishia Mtwara, Mtukura, Namanga na Tunduma? Kwa ufupi Yanga hapo ndio mwisho wake.
 
Simba imefanikiwa Afrika licha yakucheza ligi ya Mabingwa mwaka jana bado inarekodi ya kuuza wachezaji kwenye club kubwa barani Afrika hata Ulaya. Acheni yanga waendelea na kelele za chura kwani ipo siku wote wataishabikia simba
 
ni kwel yanga ni joka la kibisa na hata ivo CAF wanachek miaka 3 iliyo pita umefanya nn kwenye makombe ya caf
 
Hapa tunadanganyana eti Yanga haikushiriki CAF mwaka jana. Tukumbuke kwamba CECAFA inatambuliwa na CAF, na Yanga ndio bingwa wa mwaka jana wa CECAFA, lakini pamoja na hayo, CAF imeona bado sana kuiweka Yanga kwenye vilabu bora!
 
Hapa tunadanganyana eti Yanga haikushiriki CAF mwaka jana. Tukumbuke kwamba CECAFA inatambuliwa na CAF, na Yanga ndio bingwa wa mwaka jana wa CECAFA, lakini pamoja na hayo, CAF imeona bado sana kuiweka Yanga kwenye vilabu bora!

Acha kuongozwa na ushabiki angalia facts, CECAFA kutambuliwa na CAF sio tatizo maana hata TFF inatambuliwa na CAF, hizo ranking zinahusisha timu zilizoshiriki mashindano yanayoandaliwa na CAF.
 
Yanga wa hapa hapa!mmeshasahau na hili?utashindanisha na timu iliyowahi cheza fainali za CAF?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nlijua tu watu watakuja na kutetea kupigwa bao na Liboro, ha haaa/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…