Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kikosi cha Yanga SC kitashuka uwanjani kupambana na CBE SA FC katika mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2024/2025) leo, Jumamosi, Septemba 14, 2024. Mchezo huu utaanza kuanzia Saa 9:00 alasiri.
Macho ya Watanzania yataelekezwa jijini Addis Ababa, Ethiopia, ambapo mabingwa wa Tanzania, Yanga, watakutana na mabingwa wa Ethiopia, CBE SA. Mechi hii inatarajiwa kuwa na upinzani mkali huku timu zote zikitafuta ushindi muhimu katika mashindano haya ya kimataifa.
Kikosi ambacho natarajia kukiona kikianza leo ni kama ifuatavyo
Dirra
Boka
Mwamnyeto [ C ]
Job
Bacca
Aucho
Maxi
Mudathir
Dube
Aziz Ki
Pacome
Macho ya Watanzania yataelekezwa jijini Addis Ababa, Ethiopia, ambapo mabingwa wa Tanzania, Yanga, watakutana na mabingwa wa Ethiopia, CBE SA. Mechi hii inatarajiwa kuwa na upinzani mkali huku timu zote zikitafuta ushindi muhimu katika mashindano haya ya kimataifa.
Dirra
Boka
Mwamnyeto [ C ]
Job
Bacca
Aucho
Maxi
Mudathir
Dube
Aziz Ki
Pacome