wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Nimepata tetesi kwamba kombe letu mpya ni la plasti na limegharimu TFF kiasi cha Tsh 200,000.
Kwa kuwa nahisi harufu ya ufisadi-kwani kwa makisio ya haraka kombo hilo halizidi Tsh 20,000/= pamoja na usafiri kutoka china kwa ndege.
Hivyo kuepusha pesa za walipa kodi kuliwa na wajanja wachache, namuomba CAG afanye ukaguzi mahsusi ili tujue gharama halisi ya kombe hili.
Kwa kuwa nahisi harufu ya ufisadi-kwani kwa makisio ya haraka kombo hilo halizidi Tsh 20,000/= pamoja na usafiri kutoka china kwa ndege.
Hivyo kuepusha pesa za walipa kodi kuliwa na wajanja wachache, namuomba CAG afanye ukaguzi mahsusi ili tujue gharama halisi ya kombe hili.