kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Anayekata ticket ni nani?Kama takwimu zinabaki kama zilivyo,ni wazi kuwa kuna upigaji mkubwa wa pesa za viingilio.
Nashauri kama huna wataalam wa IT, utafute wataakamu waliobobea ili waibue madudu yatakayoshangaza wengi.
Inawezekana hata lile suala la mtandao kuwa chini wakati wa kuuza tickets za mechi kubwa,hufanywa maksudi.
Suala hili lisiachwe hivi hivi
Nashauri kama huna wataalam wa IT, utafute wataakamu waliobobea ili waibue madudu yatakayoshangaza wengi.
Inawezekana hata lile suala la mtandao kuwa chini wakati wa kuuza tickets za mechi kubwa,hufanywa maksudi.
Suala hili lisiachwe hivi hivi