Aisee ngoja nisomeshe binti angu!! Labda akikuwa akipata kitengo nae atasaidia ukoo wake...!!! Maana izi raia zinakula maisha sio poa sisi tunalia lia huku wao hata njaa hawaijui ni unafiki kwakwenda mbele ili matumbo yao yashibeMkiambiwa nchi hii ni tajiri muwe mnaelewa jamani, viongozi wanatajirika baada ya muda mfupi sn
Ndiyo maana wanakwambia nchi ipo uchumi wa kati sababu wao hawaamini kama mtu anaweza kukosa elf 1Aisee ngoja nisomeshe binti angu!! Labda akikuwa akipata kitengo nae atasaidia ukoo wake...!!! Maana izi raia zinakula maisha sio poa sisi tunalia lia huku wao hata njaa hawaijui ni unafiki kwakwenda mbele ili matumbo yao yashibe
Ofisi ya raisi report yake haijatolewa popote hadharani.Ofisi ya raisi si ndo mnasema bwawa la nyerere, madege ya atcl, sgr. Au mie sijaelewa mbona mnanichanganya sasa. Maana mnasema maovu yote ni yeye sasa mnataka ofisi ipi tena ya raisi
Hawa jamaa posti zao zinatia mashaka ufahamu wao....Huu ni utoto sasa, nani alikuambia ofisi ya Makamu wa Rais report yake huwa inatolewa public? Basi mbona hujauliza report ya jeshi? Usalama wa Taifa, Polisi? Wizara ya Mambo ya Ndani na ofisi ya Rais?
Kuwa makini kabla ya kuleta thread yako unaweza kuwa una Nia nzuri lakini inakupunguzia heshima japo unatumia ID tu ila hata ID zinaheshimika humu.
Inakera sana mmtu iliyotayari kupika takwimu muhimu hizi za nchi ili kupotosha umma! Hawa wote hawatakuwa na mwisho mwema, just wait & see!Nikupe pongezi kwa shughuli pevu ya kukagua hesabu za Serikali, bila shaka tumeona ni kiasi gani fedha za Serikali zimepotea pasipo kufikia malengo kusudiwa, nikupongeze kwa hilo.
Katika ukaguzi wako umeona madudu karibu kila sehemu ila cha kushangaza ofisi ya makamu wa Rais hujaigusia kabisa au kule mambo saaaafiii?
Ninachokushauri tu muraa ni kwamba unafiki hautakusaidia lolote na kwa hili Wana Mara umetushusha mno! Haihitaji kuwa na PhD kuelewa kuwa hiyo ripoti yako imejaa uchuro hamna lolote, Watanzania wanaona na muda utaongea.