Tetesi: CAG vs Spika ni fumbo hata Ikulu nadhani wanakwepa

Tetesi: CAG vs Spika ni fumbo hata Ikulu nadhani wanakwepa

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ndugu zangu taifa hili lina mafumbo mazito sana kiasi mimi natetemeka hata kuandika hii habari.
Hivi kweli mahojiano ya CAG Kule majuu na vile mkuu wa lile jumba dodoma alivyo pokea yanafanana?


Hili sakata nani ana chezesha remote? Najuwa watu mtasema Kule magogoni
Mmmm nakataa hii picha ipo nyuma ya pazia tena pazia jeusi kiasi alioko nyuma hatumjuwi.


Hili ni fumbo najuwa pale magogoni wenye akili wamesha juwa na Uwenda hawataki hata kusikia au hata toa even comment hili sakata lina taka kumuondoka mkuu kwenye mstari while wabaya wanao jifanya wema kwake wakimcheka.

Hili nifumbo wenye akili wameshajuwa na Uwenda alie lianzisha ataambiwa alimalize mwenyewe kikatiba while mwenye mamlaka ya uteuzi akikaa mbali na haya yanayo endelea.

Nini kipo nyuma ya hili? Na Kwanini sasa sio jana? Kwanini vyombo vya habari ndio vinatumika!


Naimani washauri wa Rais wanasoma humu. Huu ni mtihani kwa Mh Rais na hekima itumike sana kuliko hasira na jaziba.

Yes mnaweza shinikiza Assad CAG atenguliwe yes akatenguliwa ila hali ndani ya serikali haitokuwa nzuri yataibuka mambo mengine nje ya hili mbaya zaidi watu. Watatoka kwenye siasa na kujadili imani hapo ndipo utakuwa mlipuko.


Mimi kwa kuona mbali na ninavyo amini Rais acheze karata tatu lipo jaribio kumvuruga wakati anaelekea 2020.

Nikweli Assad ameongea bunge dhaifu but sio kwa kisiasa na kwawenye kumjuea Assad wanakwambia mkuu Acha hili lipite na usiguse jambo hili maana hukulianzisha mbaya zaid Assad ni mtu wakaribu ktk kazi zako usiruhusu atoke nje ya nyumba kabla ya wakati kutunza yaliomo ndani.

Mengine nisiongee ila taifa langu nakupenda na viongoz wangu.
 
Mkuu TumainiEl,

Ndugai ana watu pale Eagle House wanamwendesha watakavyo.

Maneno aliyotumia yanatumiwa sana na mmoja wa watu pale kwenye nyumba ya Oysterbay. Maneno hayo anayatumia pia namba moja.

Iangalie tena video ya Ndugai (recent) utanielewa.

Wanasahau kitu kimoja, sote ni wapitaji tu, Tanzania itasimama yenyewe!
 
Mkuu TumainiEl,



Ndugai ana watu pale Eagle House wanamwendesha watakavyo.

Maneno aliyotumia yanatumiwa sana na mmoja wa watu pale kwenye nyumba ya Oysterbay. Maneno hayo anayatumia pia namba moja.

Iangalie tena video ya Ndugai (recent) utanielewa.

Wanasahau kitu kimoja, sote ni wapitaji tu, Tanzania itasimama yenyewe!


Nyumba ya Ouster Bay ni ipi mkuu?
 
Nikweli Assad ameongea bunge dhaifu but sio kwa kisiasa na kwawenye kumjuea Assad wanakwambia mkuu Acha hili lipite na usiguse jambo hili maana hukulianzisha mbaya zaid Assad ni mtu wakaribu ktk kazi zako usiruhusu atoke nje ya nyumba kabla ya wakati kutunza yaliomo ndani.


Ushauri huo umejaa utata mkubwa sana, unasema; "usiruhusu (CAG) atoke nje ya nyumba kabla ya wakati kutunza yaliyomo ndani".


👆🏻Kutunza manbo yepi yaliyomo ndani ambayo wewe mleta mada unayaogopa ??, maana bila shaka unayajua.
 
Baada ya trillion moja na nusu kuliwa ..sasa hivi tunaambiwa bilioni 2.7 pia "vanished " in thin air of Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu toa ufafanuzi wakutosha juu ya habari hii, ujue bado watu tunauchungu na 1.5 trillion Tsh ZETU, halafu juu ya hilo "donda" ambalo halijapona unamwagia "CHUMVI" ya 2.7 billion Tsh, unataka WTZ tufe kwa BP !!??🤔🤔🤔
 
Ndugu zangu taifa hili lina mafumbo mazito sana kiasi mimi natetemeka hata kuandika hii habari.
Hivi kweli mahojiano ya CAG Kule majuu na vile mkuu wa lile jumba dodoma alivyo pokea yanafanana?


Hili sakata nani ana chezesha remote? Najuwa watu mtasema Kule magogoni
Mmmm nakataa hii picha ipo nyuma ya pazia tena pazia jeusi kiasi alioko nyuma hatumjuwi.


Hili ni fumbo najuwa pale magogoni wenye akili wamesha juwa na Uwenda hawataki hata kusikia au hata toa even comment hili sakata lina taka kumuondoka mkuu kwenye mstari while wabaya wanao jifanya wema kwake wakimcheka.

Hili nifumbo wenye akili wameshajuwa na Uwenda alie lianzisha ataambiwa alimalize mwenyewe kikatiba while mwenye mamlaka ya uteuzi akikaa mbali na haya yanayo endelea.

Nini kipo nyuma ya hili? Na Kwanini sasa sio jana? Kwanini vyombo vya habari ndio vinatumika!


Naimani washauri wa Rais wanasoma humu. Huu ni mtihani kwa Mh Rais na hekima itumike sana kuliko hasira na jaziba.

Yes mnaweza shinikiza Assad CAG atenguliwe yes akatenguliwa ila hali ndani ya serikali haitokuwa nzuri yataibuka mambo mengine nje ya hili mbaya zaidi watu. Watatoka kwenye siasa na kujadili imani hapo ndipo utakuwa mlipuko.


Mimi kwa kuona mbali na ninavyo amini Rais acheze karata tatu lipo jaribio kumvuruga wakati anaelekea 2020.

Nikweli Assad ameongea bunge dhaifu but sio kwa kisiasa na kwawenye kumjuea Assad wanakwambia mkuu Acha hili lipite na usiguse jambo hili maana hukulianzisha mbaya zaid Assad ni mtu wakaribu ktk kazi zako usiruhusu atoke nje ya nyumba kabla ya wakati kutunza yaliomo ndani.

Mengine nisiongee ila taifa langu nakupenda na viongoz wangu.
Wee jamaa damu ya Ben inakulilia. Nakumbuka ukimtishia Ben saa8 maisha. Nakuhakikishia nakutafuta na nitakupata wee ngoja.

Unakera
 
Ndugu zangu taifa hili lina mafumbo mazito sana kiasi mimi natetemeka hata kuandika hii habari.
Hivi kweli mahojiano ya CAG Kule majuu na vile mkuu wa lile jumba dodoma alivyo pokea yanafanana?

Mengine nisiongee ila taifa langu nakupenda na viongoz wangu.
Mkuu Tumaini, hakuna fumbo lolote hapo, kama jambo dogo tuu kama la uteuzi wa Mwenyekiti wa kamati ya Bunge, jamaa alimpiga simu mtu kumuomba ushauri amteue nani, then kwa jambo kubwa kama hili kwa mtu aliyeonyesha all symptoms of lack of confidence, ulipata wapi ujasiri ule wa kumuita CAG kwa press conference yenye majigambo, madharau na vitisho vya kutishiana pingu?.

Psychoanalysis: Superiority Complex ni Dalili ya Inferiority Complex!. Maneno Mafupi Vitendo Virefu. - JamiiForums

Kwa sisi tulio perusi kidogo mambo ya human psychology tunaelewa kwenye societies zote kuna watu wanamatatizo ya complexes na miongoni mwa wenye matatizo hayo ni hawa ambao niliwaulizia humu
Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa? - JamiiForums
P.
 
mkuu wewe umeleta hii kama propaganda, ukweli unaujua kuwa mzee wa magogoni ndio anayetoa directions, kwani hata picha huoni? kila uzindizi spika yupo na anaitwa mbele na kusifiwa, mzee wa magogoni akimsifia mtu hadharani tena mara kwa mara ni wazi kuwa anafurahishwa mno na utendaji wa huyo mtu, hanaga unafiki. 1.5T ni mwiba kwa serikali sasa unadhani serikali hiyohiyo itampenda CAG? kwasababu hata kama aliyezitumia kinyume na bajeti ni mtu wa chini bado uwajibikaji utamtafuna hadi aliye juu kabisa.
 
Back
Top Bottom