CAG wa Zanzibar ni nani?

CAG wa Zanzibar ni nani?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Swali linajieleza. Nani CAG wa Zanzibar?
Mbona ripoti zake hazisikiki. Je, hakuna ufisadi wa kulipua huko Zanzibar?

Kama huyu CAG wa Bara Ndugu Kichere ndiye CAG wa Zanzibar, mbona hatumsikii akiitaja Zanzibar katika ripoti zake?
 
Kichere ni CAG wa Tanzania sio Tanganyika so nina amini pamoja na Zanzibar wenye kujua zaidi watasema.
 
Home

Screenshot_20200620-185108_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom