kwenye mahubiri ya Nabii Tito leo jioni , pia amesema Simba wasipopeleka sadaka ya kuvushwa nusu fainali kanisani kwake mpaka kesho saa 3 asubuh, basi atakula bao 3 safi dhidi ya Al-Ahaly Cairo 🐒Wakuu wasalaaaamu!
Huko Cairo kwenye makao makuu ya Club Al Ahly kumepamba moto, kocha Marcel Koller ameambiwa kuwa 'Afanye kila linalowezekana ili kumfunga Simba goli zisizopungua 3 mechi ya kesho uwanja wa Benjamin Mkapa'...
Kila nkifumba macho kuiombea timu yangu ushindi moyo unakuwa mzito sana.Friends of Al Ahly tunawaombea hizo bao tatu.....InshaAllah
Unaona kabisa naombi yataenda bure 🤣🤣Kila nkifumba macho kuiombea timu yangu ushindi moyo unakuwa mzito sana.
Source ni Chili sauce!Wakuu wasalaaaamu!
Huko Cairo kwenye makao makuu ya Club Al Ahly kumepamba moto, kocha Marcel Koller ameambiwa kuwa 'Afanye kila linalowezekana ili kumfunga Simba goli zisizopungua 3 mechi ya kesho uwanja wa Benjamin Mkapa'.
Mwanzo tuliona sisi Simba tuna possibility ya kushinda sababu Al Ahly atatufuta droo au kufungwa moja, kumbe jamaa kesho wanatafuta matokeo, tena yale mazito kama alotoka kutupiga mtani.
Hamkosekani, maana waliwadunga cha 🐖 kimokoFriends of Al Ahly tunawaombea hizo bao tatu.....InshaAllah
Africa is Only Africa Ndo maana SOKA HaliendeleiWakuu wasalaaaamu!
Huko Cairo kwenye makao makuu ya Club Al Ahly kumepamba moto, kocha Marcel Koller ameambiwa kuwa 'Afanye kila linalowezekana ili kumfunga Simba goli zisizopungua 3 mechi ya kesho uwanja wa Benjamin Mkapa'.
Mwanzo tuliona sisi Simba tuna possibility ya kushinda sababu Al Ahly atatufuta droo au kufungwa moja, kumbe jamaa kesho wanatafuta matokeo, tena yale mazito kama alotoka kutupiga mtani.
Kesho ndo ijumaa kuu mtaamua wenyewe kula samaki au kula majaniHamkosekani, maana waliwadunga cha 🐖 kimoko
Kwetu ni kumlima mtu tuKesho ndo ijumaa kuu mtaamua wenyewe kula samaki au kula majani
Mtalimwa kama viazi....Kwetu ni kumlima mtu tu
mkuu umeacha kuishabikia timu yako ya simba siku hizi?Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Mtaona tunavyowatesa ma baby wenuMtalimwa kama viazi....