Calculation hapa zinaenda kweli au tutafute mishe zingine

Calculation hapa zinaenda kweli au tutafute mishe zingine

Akili ya kubeti

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
417
Reaction score
636
Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
 
Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Haufiki 3.0 ingia tu mtaani uanze kuuza madafu hapo utachezea 2.7 au 2.8 kwisha habari next time hakikisha haushuki chini ya 3.0 yaan iwe zaidi ya 3.0 at least piga hata 3.7 au fika mpaka 4.0 hapo uhakika
 
Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Kwa hapo ulipofika nadhani malizia tu mkuu upate cheti huez jua kitakusaidia wapi. Kung'oa 3.0 hapo ni uongo.
 
Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Malizia then ukimalizana nayo open university kuna foundation program kwa watu wasofika GPA ya 3 .
Utaisoma kma unapenda shule
 
Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
GPA sio ishu mkuu watu wana 2.3 na wako makazini mkuu GPA haina maana kaka
 
Back
Top Bottom