Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 417
- 636
Haufiki 3.0 ingia tu mtaani uanze kuuza madafu hapo utachezea 2.7 au 2.8 kwisha habari next time hakikisha haushuki chini ya 3.0 yaan iwe zaidi ya 3.0 at least piga hata 3.7 au fika mpaka 4.0 hapo uhakikaSasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Kwa hapo ulipofika nadhani malizia tu mkuu upate cheti huez jua kitakusaidia wapi. Kung'oa 3.0 hapo ni uongo.Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Malizia then ukimalizana nayo open university kuna foundation program kwa watu wasofika GPA ya 3 .Habari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
GPA sio ishu mkuu watu wana 2.3 na wako makazini mkuu GPA haina maana kakaHabari,
Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo.
Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp,
Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi nikisapua hizo Supp mbili nikaongeza na hiyo 2.4 sifiki 3.0 au nichungulie mishe zingine za kitaa !?
Haina gharama sana ?Malizia then ukimalizana nayo open university kuna foundation program kwa watu wasofika GPA ya 3 .
Utaisoma kma unapenda shule