Calculation haziko sawa CCM maybe Chongolo na Idara ya Organization mmeshindwa

Calculation haziko sawa CCM maybe Chongolo na Idara ya Organization mmeshindwa

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Team Samia Suluhu Hassan was not observed during general meeting kosa ni kuwa Chongolo umefeli kutengeneza team Mama kwenye huu uchaguzi sijui ulikua unafanya nini maybe you don't know your power au you are buzzy for nothing angalia zimebaki team lakezone inayoungwa mkono na kusini na team Msoga imebaki na costal na Zanzibar only ...that's a shame no team Mama at all.

Masalia wananguvu na wako active kuliko nyie wenye vyeo Sasa uenezi, intelligence na organization mmefeli ku nusa na ku counter check in this election mmewaachia wabunge wa Sasa kuamua na ku finance uchaguzi wa hawa viongozi wapya nchi nzima mmesahau wabunge walitokana na nini...? Na kazi yenu ilikuwa kutengeneza team Samia Suluhu Hassan.

Last haitoi uhakika wa 2025 na inamlazimisha Rais ku beg upande wenye nguvu because yeye hana upande wake na Incase ataamua ku step down what happened 2015 itatokea tena tutapata Rais from no where and surely we will do the mistake again

You have power but you don't have the brain shame in you ...

Sasa chekeaneni mtavuna mabua
 
CDM mnalazimisha Kanda ya ziwa Kanda ziwa. Ndani ya CCM hakuna ukanda. Hii Maneno Iko Kwa CDM na walamba asali wenzako act wazalendo. Huo ukabila mnauhubiri Ili ionekane Dr Samia Suluhu Hassan hana ngome. Ndani ya CCM hakuna mgombea mwingine wa urais 2025. Na mkutano mkuu utakuja kupitisha jina Moja tu na huo ndio utaratibu na utamaduni wa chama Cha mapinduz.
 
Kanda ya ziwa msipojua tunataka nini mtakuja kushangaa tuko pale juu tena,nyie endeleeni kujiona born town halafu mje mshuhudie tunavyowakula vichwa. Kwa afya ya Tanzania yetu,paruaneni kwanza nyie kwa nyie mkimalizana sisi wananchi tutaipeleka nchi tunapopataka maana chadema wamesusa.
 
CDM mnalazimisha Kanda ya ziwa Kanda ziwa. Ndani ya CCM hakuna ukanda. Hii Maneno Iko Kwa CDM na walamba asali wenzako act wazalendo. Huo ukabila mnauhubiri Ili ionekane Dr Samia Suluhu Hassan hana ngome. Ndani ya CCM hakuna mgombea mwingine wa urais 2025. Na mkutano mkuu utakuja kupitisha jina Moja tu na huo ndio utaratibu na utamaduni wa chama Cha mapinduz.
CDM tena?Malizeni mambo yenu kwa akili.
 
Team Samia Suluhu Hassan was not observed during general meeting kosa ni kuwa Chongolo umefeli kutengeneza team Mama kwenye huu uchaguzi sijui ulikua unafanya nini maybe you don't know your power au you are buzzy for nothing angalia zimebaki team lakezone inayoungwa mkono na kusini na team Msoga imebaki na costal na Zanzibar only ...that's a shame no team Mama at all.

Masalia wananguvu na wako active kuliko nyie wenye vyeo Sasa uenezi, intelligence na organization mmefeli ku nusa na ku counter check in this election mmewaachia wabunge wa Sasa kuamua na ku finance uchaguzi wa hawa viongozi wapya nchi nzima mmesahau wabunge walitokana na nini...? Na kazi yenu ilikuwa kutengeneza team Samia Suluhu Hassan.

Last haitoi uhakika wa 2025 na inamlazimisha Rais ku beg upande wenye nguvu because yeye hana upande wake na Incase ataamua ku step down what happened 2015 itatokea tena tutapata Rais from no where and surely we will do the mistake again

You have power but you don't have the brain shame in you ...

Sasa chekeaneni mtavuna mabua
Samia atakuaje na team wakati kiongozi wa wanachama wote? Mijitu iliyozoea ubaguzi haijifichi.
 
Tulieni dawa iwaingie kenge nyinyi mlifikiri kanda ya ziwa ni ya mchezomchezo
Suala siyo kanda ya ziwa we poyoyo. Shida ni wasukuma, km ni kanda ya ziwa rais wa kwanza wa nchi hii alitoka kanda ya ziwa na ndiyo aliyeunganisha hii nchi. Shida tuliyopata ni rais msukuma ndiyo amepasua nchi ktk vipande na yakaja kusikika haya mambo ya kanda ya ziwa. Hata hivyo ktk wajumbe 14 wasukuma ni 2 tene bahati nzuri darasa la 7 hawana madhara watakuwa wapiga debe tu. Lini mtastaarabika enyi wasukuma, ushamba utawaisha lini? Mnajiaibisha
 
CDM mnalazimisha Kanda ya ziwa Kanda ziwa. Ndani ya CCM hakuna ukanda. Hii Maneno Iko Kwa CDM na walamba asali wenzako act wazalendo. Huo ukabila mnauhubiri Ili ionekane Dr Samia Suluhu Hassan hana ngome. Ndani ya CCM hakuna mgombea mwingine wa urais 2025. Na mkutano mkuu utakuja kupitisha jina Moja tu na huo ndio utaratibu na utamaduni wa chama Cha mapinduz.
Malizaneni nyie wenyewe humo ndani kenge nyie sio kila kitu CDM
 
Team Samia Suluhu Hassan was not observed during general meeting kosa ni kuwa Chongolo umefeli kutengeneza team Mama kwenye huu uchaguzi sijui ulikua unafanya nini maybe you don't know your power au you are buzzy for nothing angalia zimebaki team lakezone inayoungwa mkono na kusini na team Msoga imebaki na costal na Zanzibar only ...that's a shame no team Mama at all.

Masalia wananguvu na wako active kuliko nyie wenye vyeo Sasa uenezi, intelligence na organization mmefeli ku nusa na ku counter check in this election mmewaachia wabunge wa Sasa kuamua na ku finance uchaguzi wa hawa viongozi wapya nchi nzima mmesahau wabunge walitokana na nini...? Na kazi yenu ilikuwa kutengeneza team Samia Suluhu Hassan.

Last haitoi uhakika wa 2025 na inamlazimisha Rais ku beg upande wenye nguvu because yeye hana upande wake na Incase ataamua ku step down what happened 2015 itatokea tena tutapata Rais from no where and surely we will do the mistake again

You have power but you don't have the brain shame in you ...

Sasa chekeaneni mtavuna mabua
Unafikiri Samia hajui ANATAKA Nini!?

Hicho ulichokiona NDICHO chenyewe kwa mstakabali wa Maisha yake!!

Ni hivyo TU
 
Back
Top Bottom