Unataka kusema tuwafurumushe wahindi wote kule uhindini(Upanga, kivukoni, kariakoo,kisutu etc) ili nasi tufaidi matunda ya uhuru wetu. Maana wanakaa kwenye magorofa yetu kwa rent sawa na bei ya njiwa while sisis tunakaa madongo kuinama na kuwa tortured na long cues.
it depends on your calculations and conveniences. To me Some places in Sinza are overcrowded and the value for money in those ares are not convincing me to rent.
What is more Expensive? Living in your own house at Mbezi Mwisho(Morogoro Road) while working at The city centre, Or living in a rented house in Sinza and Renting your house to simeone else?
Bora kupanga sinza ukapangisha nyumba yako mbezi
Nimeishi sinza miaka7 katika nyumba ya kupanga nasasa naishi mivumoni(ni karibu sawa na mbezi mwisho) kwenye nyumba yangu nimegundua ni bora kuishi mivumini kwangu, kwasababu gani? ghalama za kupanga Sinza kwa nyumba yenye huduma kama ya kwangu ni zaidi ya 400,000 kwa mwezi. Nikitaka kupangisha ya kwangu naweza kupata 150,000 au laki2 kwa mwezi. Hapa kinachojadiliwa nadhani ni ghalama za kusafiri kutoka Sinza kwenda kazini(City centre) na kutoka Mbezi mpaka kazini(City centre). Kwa uzoefu nilioupata ghalama za maisha kwa ujumla zimepungua. sitarijadiri suala la conviniency maana inategemea na nature ya kazi ya mtu
Yaliyojitokeza.
1. Ghalama za mafuta kwa mwezi hazijaongezeka sana kwasababu siyo kila siku ninakwenda kazini kumbuka kuna week ends, sikukuu na likizo. nikiwa Sinza nilikuwa natumia mafuta wastani wa Tshs 10,000 kwa siku ambayo ni Tshs300,000 kwa mwezi kwasasa natumia wastani wa Tshs20,000 kwa siku ambayo ni 600,000 kwa mwezi. Ukichukua Pango400,000 + mafuta300,000=700,000
wakati kwa mivumoni natumia mafuta600,000+pango150,000(technically 150,000 is revenue to me)=750,000 tofauti ni 50,000 ambazo zinajifuta na yafuatayo.
2. Ghalama za vyakula mivumoni(hata mbezi) kidogo zipo chini kwa mfano bei ya mhogo au mchicha mivumoni/mbezi haifanani na sinza.
3. Impulse buying(Manunuzi yasiyopangwa) mivumoni(hata mbezi) ipo chini ukifananisha na sinza
Haya ni machache sana kati ya manufaa ninayoyapata kutokana na kuishi kwenye nyumba yangu mivumoni. usisahau kuishi kwenye nyumba yako kunakufanya ukopesheke kirahisi hata madukani mambo yakikaa vibaya
am sorry unasema???!!!!kazi kwelikweli lakini tutafika!Unataka kusema tuwafurumushe wahindi wote kule uhindini(Upanga, kivukoni, kariakoo,kisutu etc) ili nasi tufaidi matunda ya uhuru wetu. Maana wanakaa kwenye magorofa yetu kwa rent sawa na bei ya njiwa while sisis tunakaa madongo kuinama na kuwa tortured na long cues.
Mkuu Gama hata hivyo zile nyumba nyingi zilikuwa za kwao zikataifishwa tu-refer arusha declaration 1967Unataka kusema tuwafurumushe wahindi wote kule uhindini(Upanga, kivukoni, kariakoo,kisutu etc) ili nasi tufaidi matunda ya uhuru wetu. Maana wanakaa kwenye magorofa yetu kwa rent sawa na bei ya njiwa while sisis tunakaa madongo kuinama na kuwa tortured na long cues.
Nimeishi sinza miaka7 katika nyumba ya kupanga nasasa naishi mivumoni(ni karibu sawa na mbezi mwisho) kwenye nyumba yangu nimegundua ni bora kuishi mivumini kwangu, kwasababu gani? ghalama za kupanga Sinza kwa nyumba yenye huduma kama ya kwangu ni zaidi ya 400,000 kwa mwezi. Nikitaka kupangisha ya kwangu naweza kupata 150,000 au laki2 kwa mwezi. Hapa kinachojadiliwa nadhani ni ghalama za kusafiri kutoka Sinza kwenda kazini(City centre) na kutoka Mbezi mpaka kazini(City centre). Kwa uzoefu nilioupata ghalama za maisha kwa ujumla zimepungua. sitarijadiri suala la conviniency maana inategemea na nature ya kazi ya mtu
Yaliyojitokeza.
1. Ghalama za mafuta kwa mwezi hazijaongezeka sana kwasababu siyo kila siku ninakwenda kazini kumbuka kuna week ends, sikukuu na likizo. nikiwa Sinza nilikuwa natumia mafuta wastani wa Tshs 10,000 kwa siku ambayo ni Tshs300,000 kwa mwezi kwasasa natumia wastani wa Tshs20,000 kwa siku ambayo ni 600,000 kwa mwezi. Ukichukua Pango400,000 + mafuta300,000=700,000
wakati kwa mivumoni natumia mafuta600,000+pango150,000(technically 150,000 is revenue to me)=750,000 tofauti ni 50,000 ambazo zinajifuta na yafuatayo.
2. Ghalama za vyakula mivumoni(hata mbezi) kidogo zipo chini kwa mfano bei ya mhogo au mchicha mivumoni/mbezi haifanani na sinza.
3. Impulse buying(Manunuzi yasiyopangwa) mivumoni(hata mbezi) ipo chini ukifananisha na sinza
Haya ni machache sana kati ya manufaa ninayoyapata kutokana na kuishi kwenye nyumba yangu mivumoni. usisahau kuishi kwenye nyumba yako kunakufanya ukopesheke kirahisi hata madukani mambo yakikaa vibaya
Kumbe weye jirani yangu, itabidi nikutafute tukapige bia.
Mkuu, well said!
Kwa kuongezea tu Mivumoni unaweza kujilimia vimchicha na vipilipili vyako......bado gharama zinapungua hapo....lakini sinza labda mchicha uupande kwenye ndoo.
Pia mivumoni waweza kujifugia vikuku vyako na vibata kadhaa wakati Sinza utatafuta kugombana na majirani tu.
Jamani njooni mikoano kuna unafuu mkubwa,kwani lazima wote mkae dar?mimi kwa mfano nipo moshi mjini,6km kutoka ofcn kwangu natumia lita 1 tu kwa siku,yaani elfu 2.2 hakuna foleni wala nini