Calisah azidi kuvujisha picha za Wema

Huyo anatafuta kiki, Kuna siku alikuwa anahojiwa eatv, alisema hakuna mwanamke anampenda kama Wema
Kichaa huyu bila hata kumpima, amedharau jina lake alilopewa na na wazazi wake (Shija Kwirasa) anajipachika jina la bandia, analaana huyo.
 
Kichaa huyu bila hata kumpima, amedharau jina lake alilopewa na na wazazi wake (Shija Kwirasa) anajipachika jina la bandia, analaana huyo.
Kumbe ni msukuma,ila ana mambo ya kishamba sana , yaani itakuwa anatafuta kuwa celebrity
 
Hii ndio biashara mpya ya wema, kuwatoa vijana! Nadhani wanamlipa vzr,

Manake bila wema, yule jamaa wa Big brother alishapotea tayar na bila ya wema huyu jamaa watu wasingemjua milele!
Aitumie vzr hii biashara yake, soon watu watamshtukia na yeye ndo itakuwa mwisho wake
 
Nasikia hamnaga ushemeji tunakula..
Nasikia hamnaga ushemeji tunakulaga
 
Mbona hakuna kilichovujishwa hapo kila kitu kipo staged for cheap attention
 
Namim nataka nipige wema jaman ntampata wap?
 
Utoto unamsumbua, unavujisha picha zenu za faragha ili iweje!?😱
 
Wema ni kiboko...utakuta baada ya kuvuja hizo picha anapata mitongozo balaa ya wataka kuosha rungu.Kwa kifupi ni kama tangazo la biashara....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…