Calisah azidi kuvujisha picha za Wema

Model Calisah Afunguka Baada ya Kusambaa Kwa Video yake Akimla ‘Denda’ Wema Sepetu
Udaku Special 4 hours ago

Weekend hii katika mitandao ya kijamii kumesambaa video inayomuonyesha malkia wa filamu nchini Wema Sepetu akiliwa denda na model Calisah.

Wawili hao ambao walitumia nguvu nyingi kufanya siri mahusiano yao, wameumbuka kupitia video hiyo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii.

Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Calisah amesema hajui ni nani ambaye amesambaza video hiyo mtandaoni kwani walikuwa nayo yeye pamoja na Wema.

“Nilikuwa nachati na Wema kawaida ghafla nikaona notification, kufungua ndio nikakuta hiyo video na mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kumuuliza Wema kwa sababu video nilikuwa nayo mimi na Wema,” alisema Calisah.

Pia model huyo amedai video hiyo imemsababishia matatizo katika familia yake pamoja na kumpoteza bibi yake kwa presha
WEBSITE
 
Kichaa huyu bila hata kumpima, amedharau jina lake alilopewa na na wazazi wake (Shija Kwirasa) anajipachika jina la bandia, analaana huyo.
Kwani wewe wazazi wako walikupa jina la Rich Pol?

Na hiyo Avatar ni wewe? [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Namimi nishamshtukia huyu atakua hawapi kitu zidi ya izi game za kuuza sura inaelekea inamlipa sana
 
Calisah ndio nani? Hawa mastaa wengine naweza pishana nao hata bila kujua. Tupia na picha mkuu.
 
Ni Utoto na ushamba kuweka mambo ya chumbani sebuleni... Pathetic!
 
Wema anahitaji maombi ya watanzania kusema kweli. Kwa umri wake 28 years kufanya haya mambo ni aibu.
nilipokua na umri wake tayari nilikua mke wa mtu na watoto wawili, very responsible na famila yangu. Anatakiwa awaangalie wenzie kina Aunty Ezekiel, Kajala, Irene Uwoya walivyotulia. yeye bado anahisi ana umri wa Gigi Money. Eehhh... Mungu sadia hiki kizazi
 
wewe, wema ana 28, mbona anaonekana kama ana 35 tuwe wakweli kwenye umri jameni.
 
halafu wanaume wa dar wanadeka sana kwa wanawake, inakuwaje dume zima anashikwa kama yeye ndio demu ivo? au na yeye anajiona mzuri? wanaume wa dar mna shida sana, mnajipodoa na kujikurutua kuzidi hata wanawake, sasa hapo mwanaume yuko wapi na mwanamke yuko wapi, mbona wote naona ni ma beautiful tu?
 
Wema ashakomaa kwa umalaya na haon shida pc kusambazwa sema dogo anataka tu kick town
 
Uwoya huyu huyu au mwingne mkuu
 
Ila kwa haraka haraka, hata hao wanaume wanao mfuata wema wengi huwa hawana version na huyo wema zaidi ni kutaka kutimiza fantasy zao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…