rugilandavyi
Member
- Apr 2, 2014
- 12
- 11
Cc; Kiranga
Cc; Ishmael
Cc; Free ideas
Cc; Eiyer
Cc; Nkwesa Makambo
Cc; housegirl Etcetera
.made in mby city.
Tatizo la Atheists hawana hoja zenye kutetea msimamo wao.
Mkuu hebu jaribu kuwa mkweli, labda kuna atheist ambao hawana hoja ila tukiongelea humu jukwaani wasio na hoja ni theist wewe mwenyewe ni shuhuda jinsi tunavyowagaragaza kwenye mada mbali mbali humu jukwaani kiasi wanabaki kuruka ruka tu kama maharage yanayochemka jikoni.
CALL IT A RELIGION MAYBE?
What Exactly is your point Peekaboo?do you think that,My reasons are superficial?well
ok,can you define atheism for us?
Why should I? That's your thing Man. I was only pointing out your mission of turning theists into atheists is in itself a kinda religion ideology since you have to form some sort of an ideology in order to do that
Atheist hawana hoja,au nyie ndiyo hamna?
unaweza kutupa solid Evidence yoyote inayo thibitisha uwepo wa Mungu?
Sasa hilo swali ndiyo hoja yenu?
Mkuu UHURU JR kama unataka hoja zetu hapa si pahala pake.
Inahitajika New topic and We'll be there
Ngoja nikukumbushe kitu,hii thread siyo special kwa THEISTS rejea kichwa cha habari hapo juu
Where do we(human) come from sir?Mhh-mhh,Nope buddy
This isn't Matter of Ideology.This is matter of fact&proofs and nothing more.
I guess we are out of topic BTW
Where do we(human) come from sir?
Where do we(human) come from sir?
How many time should we repeat?and this thread isn't special for this subject after all.
ok,let explain it shortly young man.
in roughly speaking,humans envolved from non-human species[our common Ancestors] to complex and intelligent being over billion of years ago
this biological transition took place due to gradual genetic mutation catalysed by both chemical and environmental change
if you think My argument above are less satisfactory
then take closer look in this link Tiger
ORIGIN OF MAN
Asante kiongozi.The answer to this question is beyond your comprehension.
Keep on involving,some day in your life time you will get the answer.