P Pitz Member Joined Feb 11, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Jun 22, 2017 #1 Naomba kuhoji, ni kwa nini hii mitandao ya simu wanatuwekea call back ringtone ambazo mwenye simu hata hana habari. Nyimbo zingine zinakera kweli unapompigia mtu harafu inaanza kuimba. Haki za wenye simu hazijaingiliwa hapa?
Naomba kuhoji, ni kwa nini hii mitandao ya simu wanatuwekea call back ringtone ambazo mwenye simu hata hana habari. Nyimbo zingine zinakera kweli unapompigia mtu harafu inaanza kuimba. Haki za wenye simu hazijaingiliwa hapa?
Perfectz JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 9,045 Reaction score 28,216 Jun 22, 2017 #2 Kama ni kweli sio sawa,ila mara nyingi huwa zinakuwepo baada ya wewe kuomba HUDUMA husika.Wasiliana nao wakutoe kwenye huduma
Kama ni kweli sio sawa,ila mara nyingi huwa zinakuwepo baada ya wewe kuomba HUDUMA husika.Wasiliana nao wakutoe kwenye huduma
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,032 Reaction score 18,540 Jun 22, 2017 #3 Tigo hao!
likandambwasada JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 5,402 Reaction score 6,081 Jun 22, 2017 #4 MIMI INANIKERA MTU HAPATIKANI UNAANZA KUAMBIWA ''JAZA UJAZWE''
b5-click JF-Expert Member Joined Mar 21, 2012 Posts 2,195 Reaction score 2,109 Jun 22, 2017 #5 likandambwasada said: MIMI INANIKERA MTU HAPATIKANI UNAANZA KUAMBIWA ''JAZA UJAZWE'' Click to expand... Toka wameanza hii mambo situmii tigo, wawajaze wengine aisee.
likandambwasada said: MIMI INANIKERA MTU HAPATIKANI UNAANZA KUAMBIWA ''JAZA UJAZWE'' Click to expand... Toka wameanza hii mambo situmii tigo, wawajaze wengine aisee.